IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,384
Mi naomba hiyo iwe imetokea TARIME uone huyo jamaa watakavyo mgecha!
sio lazima tarime mkuu,...kila mtu anapenda kuheshimiwa na kudhaminiwa,....anyway hii ni story in its making.
Mi naomba hiyo iwe imetokea TARIME uone huyo jamaa watakavyo mgecha!
Very true.... It means the guy is still longing and he tries to compensate with money. I will take the money, make him 7m less in pocket but won't use it for wedding, will give to poor people, orphans or churchHuyo kaka atakuwa amechaga kwa masifa kwa kweli na wala si hiari na ukiangalia haraka haraka ni kama alitaka kumfanya huyo bw harusi ajisikie vibaya, haipendezi tena mbele ya umati wa watu wanaoelewa issue nzima.
ujinga mno kutafuta sifa na harusi za watu
yaani huyo x ni mjinga still......
so una pesa tele but still mdada kaenda kwa jamaa lofa....
pesa sio kila kitu..
wapo watu wako 'blessed'....
hata ukitumia pesa kujipandisha utazidi kujiumiza tu....
Wewe unatarajia kuoa hivi karibuni!upo ktk kikao chako cha harusi,mmepanga bajeti ni 12m!Bwana harusi umeanza ahadi yako kwamba utatoa 3.5m!wanakamati wawili watatu nao wakatoa ahadi zao!Sasa unajua tena haya mambo ya marafiki kuleta watu pengine wasio rafiki zako ktk kikao wachangie kumbe mmoja wa marafiki zako kamleta X-boyfriend wa mchumba wako mtarajiwa.
Ikafika zamu ya x wa mtarajiwa wako huku nawe ukiwa unajua jamaa alikuwa anakula mzigo wako,jamaa kwa mbwembwe akauliza so far ahadi ya bw harusi na wanakamati wengine ni sh ngapi?ikaonekana jumla ni 5m!jamaa papo hapo akaahidi kutoa pesa yote iliyobakia yaani 7m yaani mara 2 ya pesa uliyoahidi wewe bwana harusi!kama hataki vile jamaa akatoa cheque book ya kampuni yake ambayo mchumba wako alikuwa akifanya kazi enzi ya mahusiano yake na jamaa hapo awali!Jamaa akaanguka saini akakukabidhi cheque ya 7m!
JE UTAIPOKEA?UTAMWAMBIA MCHUMBA WAKO KUWA X WAKE KATOA KIASI HICHO CHA PESA?AU UTAMTOA NDUKI JAMAA?
nitapokea ila kwa shingo upande aisee... dah!! na mchumba wangu hatastahili fahamu hili.
...Bora kuwa maskini jeuri!!! Mie hata kwenye kikao asingekuwepo ningemtafadhalisha tu aondoke kabla kikao cha harusi hakijaanza. Kikao cha harusi ni changu mimi na mimi na yeye hatuna uhusiano wowote zaidi ya kuwa mmoja wa marafiki zake pia ni rafiki yangu. Hivyo hastahili kuwepo kwenye kikao.
Then utakua umefeli mtihani wake, lengo lake ni kukuona wewe kumwezi, but you have the bigger asset... LOVE of her XHuyo X wa mchumba wako anafuata nini kwenye kikao hicho, au bado mahusiano yapo? Kukuandikia cheki ya balance ya bajet kwa sisi wanaume ni MATUSI ya nguoni, kama ni mimi nitaichukua na kuichanachana na kumtupia hivyo vipande. Anatafuta loop hole ya kuwa na mawasiliano na mchumba hata atakokuwa mkeo. Atakuwa anampigia simu bila wasiwasi ukihoji atakwambia nilikuwa natoa shukrani za mchango!
Ogopa type za watu wa aina hiyo, kukuchangia zaidi ya nusu ya bajeti - HAPANA.
Hivi ukikataa wanakamati unawapa sababu gani ya kukataa
Usifanye mchezo na ugonjwa wa moyo,Kumjua tu jamaa aliyekuwa anagonga hiyo kitu before ni noma.Kila ukikutana naye pressure inapanda.HAKIYA NANI MOTO UNGEWAKA NA KIKAO KINGEVUNJIKA!!!!!