Mambo ya uswazi

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,444
uswazi.jpg


Uswazi ni kawaida sana kuona mtu anatoka na khanga moja kwenda dukani kwa Mangi
Jamani khanga ina hamasa zake kwa wapenda nao mtoto wa mboga saba akija uswazi aone mambo ya khanga moja lazima ataishia kujichafulia kwa suruali. Uswazi kuna raha zake jamani.
 
Aiseee hommie ukifika TIP TOP kama unakata kuja TANDALE UZURI halafu unarudi kama vile unaenda kutokea njia ya kwenda MABIBO kheeee kheeee kheee kule ni hatari kuna haja ya kufanya RESEARCH kama ya wiki hivi
 
Hii picha ingekuwa nzuri sana kama ingeonyesha huyo mwanamke yuko kwenye motion ya kutembea sipati picha na hiyo khanga l.o.l
 
Aiseee hommie ukifika TIP TOP kama unakata kuja TANDALE UZURI halafu unarudi kama vile unaenda kutokea njia ya kwenda MABIBO kheeee kheeee kheee kule ni hatari kuna haja ya kufanya RESEARCH kama ya wiki hivi

Usione watu tunang'ang'ania kula bata uswazi kuna raha zake bane asikwambie mtu. Yaani kama Chuda vile
 
Hii picha ingekuwa nzuri sana kama ingeonyesha huyo mwanamke yuko kwenye motion ya kutembea sipati picha na hiyo khanga l.o.l

Sasa kwa shemeji yako mlango wa pili anako elekea Bi Mwanakombo
 
uswazi wanaume hawana stimu mpaka wapange siku na kwenda lodge ndio wapandishane stimu.hata mwanamke akivaa nguo fupi sana zaid watamsimanga kwa maneno lakin suruali zao zikiwa flati bila kutuna kokote .mie nadhan ni kwasababu ya uchafu,uswazi mwanamke anashinda na khanga mpaka mchana yaan bila kugusa maji,akikupitia karibu unaweza kuzimia kwa harufu.ila wakioga hao wakafika town,unaweza dhania wametokea masaki
 
Usione watu tunang'ang'ania kula bata uswazi kuna raha zake bane asikwambie mtu. Yaani kama Chuda vile
Hommie spika kubwa zimewekwa nje kwenye uwanja mduara unazungushwa mchana kweupe aisee uswahili bana vijana wakware wamezunguka wanasubiri mmoja wao banana zimleweshe waondoke naye l.o.l
 
uswazi wanaume hawana stimu mpaka wapange siku na kwenda lodge ndio wapandishane stimu.hata mwanamke akivaa nguo fupi sana zaid watamsimanga kwa maneno lakin suruali zao zikiwa flati bila kutuna kokote .mie nadhan ni kwasababu ya uchafu,uswazi mwanamke anashinda na khanga mpaka mchana yaan bila kugusa maji,akikupitia karibu unaweza kuzimia kwa harufu.ila wakioga hao wakafika town,unaweza dhania wametokea masaki

Kushinda na khanga moja kuna fanya bailojia ishinde inapumua na mazingira yote husika mpaka kule dawasco kunakuwa shwari hakutemi ovyo ovyo harufu kama wewe unavyo dhania kitu kinapunga upepo full time
 
Ahaaaa ahaaaa ahaaaa fidel bana, akiwa anaenda kununua maandazi ya chai asubuhi

Hahahaha kidume nimemwezesha hapo kodi ya miaka 2 ni 240,000/= najua wewe pesa hiyo unatumia wiki mbili imekata mwenzio nimempangia shemeji yako hapo na nikifika hapo napiga mluzi tu nazama geto kula lunch
 
Kushinda na khanga moja kuna fanya bailojia ishinde inapumua na mazingira yote husika mpaka kule dawasco kunakuwa shwari hakutemi ovyo ovyo harufu kama wewe unavyo dhania kitu kinapunga upepo full time
Ngoja nikachekee nje l.o.l
 
Kushinda na khanga moja kuna fanya bailojia ishinde inapumua na mazingira yote husika mpaka kule dawasco kunakuwa shwari hakutemi ovyo ovyo harufu kama wewe unavyo dhania kitu kinapunga upepo full time

basi we ndio hujui.dawasco ukipaacha wazi panaathiri mitambo yote kwani koki hupunguza nguvu na kuruhusu matone kudondoka zaidi.kiusafi kufuli ni muhmu zaid na nguo pia
 
basi we ndio hujui.dawasco ukipaacha wazi panaathiri mitambo yote kwani koki hupunguza nguvu na kuruhusu matone kudondoka zaidi.kiusafi kufuli ni muhmu zaid na nguo pia

Na joto la Dar hili unavaa qupi + skin tight + kijeans (ili uonekane una kakalio)+ sketi au suruali hivi ukizivua hizo si utatengeneza sumu ya mbu?
 
Kuvaa khanga hakukatazwi lakini ujisitiri kidogo bahati mbaya wapite madogo wanakimbizana alafu ashike hicho kikhanaga si inakuwa balaa lingine
 
madhara ya kanga moko niliyaona siku ya mabomu gomz kina mama wengi walikimbia uchi vyombo njenje:decision::rain:
 
Na joto la Dar hili unavaa qupi + skin tight + kijeans (ili uonekane una kakalio)+ sketi au suruali hivi ukizivua hizo si utatengeneza sumu ya mbu?
siku hizi hatuvaagi hivi bana, tunatembea uchi kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom