babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,102
- 15,993
majambazi wote hawa,siku nimekaa nao club nimeenda kwa choo nimerudi nimekuta simu zote mbili wamesafiri nazo,i miss my htc hadi leo.
More to come inaonyesha Bongo tuna watoto wakali kwa East Africa nzima
Huyu yupo njema sana, hata akikataa kupima mimi najitosa, hahhahah
duh, hata boss sijui kama ameona picha ya bebe cool!!!?
Mfunyukuzi ameweka hizo picha za Ug nimekumbuka hili swali lilikua linanisumbua sana - hasa Tz vs Ug wasichana gani ni warembo sana kuliko wa wenzao? Maana kiukweli bongo siku hizi inawaka kila kona utaona uumbaji wa mungu tofauti hadi unadiriki kusema au mungu kafungu kiwanda kipya cha watu nini afu ukiend kampala kazi ya mungu inatisha pale sasa jamaani nisaidie mwanakwenu !!! boss upo ??