hyo picha ya 3 kwao ni kitu ch kawaida sn kwa hzo gari zinazoenda shamba...afu jamaa barabarani wanaendesha gari kwa fujo sn. Niliwahi kupanda hzo gari ninaenda gambe kinazini aise nilitamani kushuka.
Subiri uchaguzi mdogo ndipo utakapojua kuwa tz tuna mijihela sisi!............lakini baada ya uchaguzii hali ndo km uonavyo................wkt wa kampeni wapemba wanashangilia pilau km kawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.