Nashukuru Malafyale, ni kweli si lazima zifanane nilichokuwa na maanisha hapa ni kuwa huyu bwana lazima kama ndivyo anayajua mahitaji ya kazi ya Wife wake. Kwa mfano kama mimi ni daktari na wife ni daktari nikiwa kama daktari najua kuna siku nakuwa na night shift vivyo hivyo na wife pia so hakuna shaka ktk hili likiwepo basi utakuwa ni wivu wa kijinga.Siyo lazima ratiba zifanane. Kwa mfano, wote Ni marubani hamuwezi rusha ndege moja kila siku! Kuna kitu zaidi ya hicho anacholalamikia huyu jamaa. Nina wasi wasi kapoteza control ya familia....... na njia rahisi ni kupiga chini mke kama hakuna suluhu.
hebu kuwa na heshima kidogo na tuombe radhi kwa kutamka hayo manenoPole sana!
Huyo simkeo tena, chunguza kwa makini, bilashaka Mchungaji Slaa ameshaingilia ndoa yako, pole !!!!
Pole sana!
Huyo simkeo tena, chunguza kwa makini, bilashaka Mchungaji Slaa ameshaingilia ndoa yako, pole !!!!
kwanza natanguliza pole
unaweza kujaribu kumtishia kuwa utaoa mke wa pili (sio uoe kweli)...........lazima ashtuke kama anakupenda kweli
Kama unaishi kwenye nyumba yako mwenyewe : mfukuze
Kama unaishi kwenye nyumba ya kupanga : tafuta nyumbani nyingine hamia na watoto mwache peke yake
Ikiwa mke wako wa ndoa anayefanya kazi inayofanana na yako anatoka saa kumi na mbili asubuhi kuelekea kazini na kurudi mara saa tatu, saa nne, saa tano na wakati mwingine saa saba za usiku na hana hata muda wa kuangalia watoto, nyumba na hata kuchangia financially mahitaji ya hapo nyumbani. Utamfanya nini?
Assume umeshawahi kuitisha kikao cha wandugu wa pande zote mkajadili suala hilo lakini ameshindwa kubadilika na mmezaa watoto wamili .
Mmoja anakaribia miaka minne na wa pili ana miezi minne tu ila amegoma kunyonya maziwa ya mama yake hivyo anaishi kwa uji, maziwa ya kopo na maji, sometimes mnampa juisi ya embe na papai.
Utafanya nini kwa mke kama huyo?