We upo kila sehemu na pumba zako dah!hii inajibu suali la kwa nn slaa alipata kura chache ingawa wabunge walikuwa wengi
Unajua huyu jamaa alikuwa anamzimia na kumkubali Mbunge wa CDM sema ndugu zake SISI M kama kawa kuhonga TShirt na kofia jamaa akaona haina nongwa ngoja aivae!