Kama macho yangu yako vema nimeona kavaa shati rangi mbili yaani njano na nyekundu.tena kwenye ukosi uande wa njano kaweka nyekundu na upande wa nyekundu kaweka njano,kwa mimi naona alionyesha uzalendo katika kuvaa shati lile bila kujali kubeza timu fulani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.