Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Te he tehe! Hivi magari nayo yana mbavu!!hihihihihi.....unataka spea za toyota au fiat?....mi naleta genuine kabisa
Te he tehe! Hivi magari nayo yana mbavu!!hihihihihi.....unataka spea za toyota au fiat?....mi naleta genuine kabisa
Where is the government?, wapeleke JKT au waombe RED CROSS wajenge mabweni ya kujikinga na mvua.
hihihihihi.....unataka spea za toyota au fiat?....mi naleta genuine kabisa
Mkuu.
Babu kapewa maono ya dawa hii na Mungu au Yesu?
Inaonekana Babu hakupewa amri au uono wa kuwa abague wagonjwa kulingana na imani zao za kidini.
Na Jee hao wagonjwa wamepewa sharti hilo la ku"kiri kuwa Yesu ni bwana"?
Hivi hapa Babu anafanya kazi ya uganga au uchungaji?
mti huo majani yake ni chakula cha twiga toka enzi hizo(nenda kwa michuzi kuna habari zaidi)
Hizi zote ni ishara za watu waliokata tamaa na maisha! We fail to invest in better infrastructures, health services, education, roads...etc for our children..na tunaanza kukimbilia Loliondo kutafuta dawa za kututibu ukimwi na kansa! Ama kweli! Umasikini ni kitu kibaya. Lakini ni kibaya zaidi kama ni umasikini wa fikra. I only wish tungekwenda Loliondo kukomboa mbuga yetu aliyogawiwa yule mwaraabu...perhaps angetupa kodi zaidi tukajenga ile barabara ya Arusha-Loliondo!
Kama mnabisha kwamba watanzania tumekata tamaa na maisha angalia vitu kama DECI vilipoingia hata wakubwa wa serikalini waliiba kodi zetu wakaenda 'kupanda mbegu' sijui leo DECI iko wapi...mifano ni mingi jamani
Ushauri wangu kwa watanzania wenzangu: Mafanikio hayana short cut. Huwezi kupata utajiri simply kwa kwenda kwa mganga! work hard and bit of 'luck' money will come. Ni kupenda hivi vitu vya mkato mkato ndo tunazidi kuwa masikini. Unalala..usiku asubuhi unataka uendeshe Lexus! Unless uibe utaipata wapi? Mwanafunzi anashindwa kusoma shule anataka mganga amsaidie kufaulu mtihani! Tunawanyima haki wanachi wetu na kupeleka hela zote uswisi huku wachache wakiishi maisha ya peponi...harafu unakuta hao hao wanasimama kwenye majukwaa wakitwambia twende kanisani kuombea amani ya nchi! Kuna watu wanatufanya tuone kwamba umasikini ni mapenzi ya Mungu kitu ambacho si kweli. Kikwete anaona kabisa DOWANS wanatuibia na wale wahusika kashindwa kuwawajibisha...they have swindled billions in our name....Kikwete huyo huyo anasimama mbele ya TV anatwambia kwamba matatizo ya umeme yanatokana na kazi ya 'Mungu' kwa sababu mvua haipatikani. Twende kanisani/msikitini tukaombe mvua inyeshe tupate umeme!
I Masanja, I refuse to believe in this! Hardwork, determination and discipline will liberate you! I say and I do! Amen!
Jina Jipya la Mungu wangu ni Yesu; aliyejulikana zamani kwa majina mengi kama Yehova Yire (Mungu mponyaji), Yehove Nisi (Mungu ndiye bendera ya ushindi wangu) Jehova Shalom (Mungu wa Amani) Alfa na Omega (Yeye ni mwanzo na pia Mwisho), alionekana kwa Musa kama Yuko ambaye Yuko na kwa Wana wa Israel kama Mungu wa baba yao Ibrahimu Isac na Yakobo....So ukiniuliza kuhusu huyo Babu alioteshwa na nani na kama ni mganga au mchungaji; I cant say much he knows better than I do for he is the owner of the dream/vision....
Kwakukusaidia mimi sina dini na wala siamini katika yeyote I am a christian by faith na ukristo tafsiri yake ni Outward working of Divinity in Humanbeings...The power that worketh is that of Holly spirit of God/Jesus hayo mengine ya dini niwaachie wanazozimiliki am out!
kaambia na Mungu bei ni mia tano tu........ nimetoka huko majuzi ndugu zangu na shemeji yangu amepona kisukari....Makamba nae tulipishana wakati sie tunatoka yeye ndo anaingia....hata mkuu wenu alifika huko kwa kisingizio cha kwenda kufukua nyayo za kale ...na amepewa juice ya babu......huenda hata poromoka tena majukwaani
... inasemekana!! Yawezekana ni kweli au ni uzushi mtupu. Ile kitu inaitwa placebo
huponyesha pia lakini at the end si dawa.
Hivi kweli karne hii watu wazima na akili zao wanywe dawa amabayo haina uthibitisho? Au eti, ...tiba aya magonjwa sugu yasiotibika kisayansi na siyo... tiba ya magonjwa sugu ambayo tiba yake haijapatikana? Kisukari? Hypertension?
21st century!! Au hawa ni wale waliodanganyika?
Anko SamUsifikiri ho watu woote ni wajinga!
Mtu ukiumwa kwelikweli hautahitaji mbwembwe za kitaalamu, hata ukiambiwa mkojo wa mama mkwe unaponyesha ugonjwa ulionao ulioshindikana, utamtuma mkeo akaulete! achana na ugonjwa!
Nadhani hujaelewa huyu jamaa anatibu nini habari zinasema hahusiani na haya uliyo comment
Mkuu
Joyceline perception ni ngumu kweli kweli. Mhafidhina na pengine wengineo hawakuelewa kuwa tiba hiyo ni kwa ajili ya magonjwa sugu kama ulivyoyataja(kisukari,cancer, figo n.k) ikiwa ni pamoja na UKIMWI. Ieleweke pia kuwa na VVU siyo lazima upate UKIMWI. Kisukari, cancer, figo, ini kwa sasa hivi ni hatari kuliko hata VVU.Jifunze kusoma kitu kukielewa kabla hujajibu,
Siyo VVU tu magonjwa sugu, kisukari, kansa nk.
Hizi zote ni ishara za watu waliokata tamaa na maisha! We fail to invest in better infrastructures, health services, education, roads...etc for our children..na tunaanza kukimbilia Loliondo kutafuta dawa za kututibu ukimwi na kansa! Ama kweli! Umasikini ni kitu kibaya. Lakini ni kibaya zaidi kama ni umasikini wa fikra. I only wish tungekwenda Loliondo kukomboa mbuga yetu aliyogawiwa yule mwaraabu...perhaps angetupa kodi zaidi tukajenga ile barabara ya Arusha-Loliondo!
Kama mnabisha kwamba watanzania tumekata tamaa na maisha angalia vitu kama DECI vilipoingia hata wakubwa wa serikalini waliiba kodi zetu wakaenda 'kupanda mbegu' sijui leo DECI iko wapi...mifano ni mingi jamani
Ushauri wangu kwa watanzania wenzangu: Mafanikio hayana short cut. Huwezi kupata utajiri simply kwa kwenda kwa mganga! work hard and bit of 'luck' money will come. Ni kupenda hivi vitu vya mkato mkato ndo tunazidi kuwa masikini. Unalala..usiku asubuhi unataka uendeshe Lexus! Unless uibe utaipata wapi? Mwanafunzi anashindwa kusoma shule anataka mganga amsaidie kufaulu mtihani! Tunawanyima haki wanachi wetu na kupeleka hela zote uswisi huku wachache wakiishi maisha ya peponi...harafu unakuta hao hao wanasimama kwenye majukwaa wakitwambia twende kanisani kuombea amani ya nchi! Kuna watu wanatufanya tuone kwamba umasikini ni mapenzi ya Mungu kitu ambacho si kweli. Kikwete anaona kabisa DOWANS wanatuibia na wale wahusika kashindwa kuwawajibisha...they have swindled billions in our name....Kikwete huyo huyo anasimama mbele ya TV anatwambia kwamba matatizo ya umeme yanatokana na kazi ya 'Mungu' kwa sababu mvua haipatikani. Twende kanisani/msikitini tukaombe mvua inyeshe tupate umeme!
I Masanja, I refuse to believe in this! Hardwork, determination and discipline will liberate you! I say and I do! Amen!
Tusubiri baada ya wataalamu toka Wizarani watakapo sema dawa hiyo ni bomba ili tumshauri Mkulu akapate dawa ya kuzuia kuanguka majukwaani ili wasiwasi ututoke hasa anaposafiri kwenye mikutano ya nje.Huyu babu amenifanya nikumbuke maneno ya Mungu kuwa...' kiburi cha mwanadamu ni uzima', at the point of death kiburi chote cha mwanadamu kinayeyuka...Imagine watu wanaoinamiwa kwa heshima kede kede na wenye sauti za nguvu wote wamepewa amri ya kwenda kufoleni Loliondo na kibabu tu maskini bila kujali status ya yeyote (Aise Babu nakupongeza sana kwakutopenda ubaguzi) na wao bila hata kulazimishwa wakafuata amri ili tu wapate uzima. Sasa wahubiri tukisema kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni bwana utashangaa mtu kwa kiburi cha uzima atakufanyia analysis mpaka unakaa chini...Ukiona mtu anachallenge decision ya wengine ujue
ndani kuna kakiburi cha uzima kanasumbua ndiyo maana anaweza nyanyua kifua na kujidai yeye ana akili kuliko wenzake....Tumshukuruni Mungu kwakutupa huo uzima tusidhani kuwa hao walioenda Loliondo wamemkosea sana Mungu ndo maana leo wanapiga magoti kwa Babu they are humbled by grace na tukumbuke kuwa hujafa
hujaumbika...Ni wangapi mnawapigia mafisadi magoti kwakuogopa vitumbua vyenu kuingia mchanga seuse uzima?
hii mada ina mantiki, haiwezekani watu wasafiri kutoka sehemu mbalimbali kukimbilia dawa ya mtu huyu, hii inaonesha dhahiri watu wamekata tamaa na huduma mbovu zitolewazo katika hospitali zetu
Sinabudi kumshukuru mungu kwa kumpatia dawa babu yetu wa Loliondo kwahajili
ya kutibu magonjwa KATILI bin SUGU yaliyokosa dawa zake hapa duniani kwahajili
ya kutibu ukimwi,kansa,kisukari nk. Nasema ahsante mungu,ahsante babu wa loliondo. Lakini kunakitu nimegundua kuhusiana na watu wanaotuletea habari hizi
kupitia mablog,magazeti,radioni na hata kwenye luninga toka habari hizi ziwe hot
cake takribani wiki tatu hivi. -Swali langu ni -Hivi kwanini hakuna mtu yeyote aliyeji
tokeza hapa jamvini live au kwenye media zingine na kukili kuwa mimi ni mmoja kati ya watu waliotoka au waliopo loliondo kwa babu kwa kusumbuliwa na ukimwi au kansa au kisukari na sasa nimepona baada ya kutumia dawa za babu huyo wa
loliondo? Badala yake utakuta watu au mtu anakuja hapa jamvini au kwenye media
zingine na kusema ooooh....huyo babu si mchezo anatibu kila kitu! au utamsikia
mtu anasema mimi nilimpeleka rafiki yangu kwa babu na sasa amepona. Au utasi
mimi nilidrive na familia yangu kwa safari ya shida sana hadi loliondo,lakini baada ya mateso ya kadha wa kadha hatimae familia yangu ilipata dawa na sasa wote wamepona (yeye kajitoa hapo) na sasa tumerudi. Mwingine oooooh.... nilimpeleka
shangazi au mjomba kwenye machela,lakini baada ya kunywa dawa ya babu'ghafla
alisimama na sasa amepona kabisa. Swali langu la pili ni -hivi kwanini mtu usiseme
kuwa wewe ndiye muhusika? ulikuwa unaumwa ukimwi au kansa au kisukari na sa
sa umepona kupitia babu? kwanini kila mtu anatuletea habari ya loliondo kupitia
ushuhuda wa mtu mwingine? kwani ukiwa muwazi na kukiri wewe ndiye muhusika
mwenyewe itaaribika nini?
Mie nafikiri tufike sehemu tuwe wawazi hasa kwenye mambo tata kama haya ili iwe
faida kwa jamii mzima. - Nawasilisha waungwana
Mungu ibariki Tanzania,Mungu mbariki babu wa Loliondo