Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

Inasemekana kwamba jana katika kanisa la Kakobe, sala iliyokuwa inaendelea ni kuomba kuhusu babu wa Loliondo ashindwe. Maombezi ya kukemea na kumkanyaga babu kwa jina la aliye mkuu yalikuwa yakiendelea huku waumini wakinena kwa lugha.Kakobe alisikika akisema ni nguvu za giza na hakuna anayeweza kutibu ukimwi bila maombi na yeye amekuwa akiwaponya wagonja wa ukimwi kwa maombezi yake. Hivyo basi babu ni nguvu ya giza na watu wafunge kwa sala ili aweze kushindwa

Source : clouds fm......power breakfast
 
p.txt.jpg


Ngoma hii serikali za mitaa nayo ndani dahh matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi
 
Tangu lini dini ikawa na ushindani maslahi? Kuponya ni karama. Kakobe ana wivu wa Kike!!
 
Du kama hii kitu ni ya kweli basi Tanzania bila ukimwi inawezekana!!

Researchers anzeni kazi mara moja kabla hatujampoteza huyu mzee kwa uchovu wa kazi alafu tukakosa hii dawa, naambiwa ana miaka 77.
 
hahahah! biashara haikumuendea vizuri jumapili hii, makusanyo ya sadaka hayakuwa mazuri ndio maana, anaogopa atajakufa njaa!
 
Ningekuwa mimi babu naanza na watz wenzangu hao gabachori baadae!!
halafu nilidhani mie tu nina matatizo nilipoona hizi picha naanza kufarijika kuwa sipo peke angu!!

Naamini Mungu wake na wetu wote si mbaguzi.
Kila mtu ana matatizo but tunatofauti aina na kiasi.
 
Mhhh!!!
Huyo babu anatakiwa kuapply demand na supply theory....demand ni kubwa sana, inabidi apandishe bei ili aweze hata kutengeneza mazingira ya kituo chake!

kaambia na Mungu bei ni mia tano tu........ nimetoka huko majuzi ndugu zangu na shemeji yangu amepona kisukari....Makamba nae tulipishana wakati sie tunatoka yeye ndo anaingia....hata mkuu wenu alifika huko kwa kisingizio cha kwenda kufukua nyayo za kale ...na amepewa juice ya babu......huenda hata poromoka tena majukwaani
 
Hizi zote ni ishara za watu waliokata tamaa na maisha! We fail to invest in better infrastructures, health services, education, roads...etc for our children..na tunaanza kukimbilia Loliondo kutafuta dawa za kututibu ukimwi na kansa! Ama kweli! Umasikini ni kitu kibaya. Lakini ni kibaya zaidi kama ni umasikini wa fikra. I only wish tungekwenda Loliondo kukomboa mbuga yetu aliyogawiwa yule mwaraabu...perhaps angetupa kodi zaidi tukajenga ile barabara ya Arusha-Loliondo!

Kama mnabisha kwamba watanzania tumekata tamaa na maisha angalia vitu kama DECI vilipoingia hata wakubwa wa serikalini waliiba kodi zetu wakaenda 'kupanda mbegu' sijui leo DECI iko wapi...mifano ni mingi jamani

Ushauri wangu kwa watanzania wenzangu: Mafanikio hayana short cut. Huwezi kupata utajiri simply kwa kwenda kwa mganga! work hard and bit of 'luck' money will come. Ni kupenda hivi vitu vya mkato mkato ndo tunazidi kuwa masikini. Unalala..usiku asubuhi unataka uendeshe Lexus! Unless uibe utaipata wapi? Mwanafunzi anashindwa kusoma shule anataka mganga amsaidie kufaulu mtihani! Tunawanyima haki wanachi wetu na kupeleka hela zote uswisi huku wachache wakiishi maisha ya peponi...harafu unakuta hao hao wanasimama kwenye majukwaa wakitwambia twende kanisani kuombea amani ya nchi! Kuna watu wanatufanya tuone kwamba umasikini ni mapenzi ya Mungu kitu ambacho si kweli. Kikwete anaona kabisa DOWANS wanatuibia na wale wahusika kashindwa kuwawajibisha...they have swindled billions in our name....Kikwete huyo huyo anasimama mbele ya TV anatwambia kwamba matatizo ya umeme yanatokana na kazi ya 'Mungu' kwa sababu mvua haipatikani. Twende kanisani/msikitini tukaombe mvua inyeshe tupate umeme!

I Masanja, I refuse to believe in this! Hardwork, determination and discipline will liberate you! I say and I do! Amen!
 
"Kanyaga Babu wa Loliondo, Sambaratisha Babu wa Loliondo, kazi za babu saga"
Nukuu ya Mwananchi Leo 7.3.11 ikimnukuu Kakobe akimwaga maombi dhidi ya Mch. wa Loliondo.
 
Hizi zote ni ishara za watu waliokata tamaa na maisha! We fail to invest in better infrastructures, health services, education, roads...etc for our children..na tunaanza kukimbilia Loliondo kutafuta dawa za kututibu ukimwi na kansa! Ama kweli! Umasikini ni kitu kibaya. Lakini ni kibaya zaidi kama ni umasikini wa fikra. I only wish tungekwenda Loliondo kukomboa mbuga yetu aliyogawiwa yule mwaraabu...perhaps angetupa kodi zaidi tukajenga ile barabara ya Arusha-Loliondo!

Kama mnabisha kwamba watanzania tumekata tamaa na maisha angalia vitu kama DECI vilipoingia hata wakubwa wa serikalini waliiba kodi zetu wakaenda 'kupanda mbegu' sijui leo DECI iko wapi...mifano ni mingi jamani

Ushauri wangu kwa watanzania wenzangu: Mafanikio hayana short cut. Huwezi kupata utajiri simply kwa kwenda kwa mganga! work hard and bit of 'luck' money will come. Ni kupenda hivi vitu vya mkato mkato ndo tunazidi kuwa masikini. Unalala..usiku asubuhi unataka uendeshe Lexus! Unless uibe utaipata wapi? Mwanafunzi anashindwa kusoma shule anataka mganga amsaidie kufaulu mtihani! Tunawanyima haki wanachi wetu na kupeleka hela zote uswisi huku wachache wakiishi maisha ya peponi...harafu unakuta hao hao wanasimama kwenye majukwaa wakitwambia twende kanisani kuombea amani ya nchi! Kuna watu wanatufanya tuone kwamba umasikini ni mapenzi ya Mungu kitu ambacho si kweli. Kikwete anaona kabisa DOWANS wanatuibia na wale wahusika kashindwa kuwawajibisha...they have swindled billions in our name....Kikwete huyo huyo anasimama mbele ya TV anatwambia kwamba matatizo ya umeme yanatokana na kazi ya 'Mungu' kwa sababu mvua haipatikani. Twende kanisani/msikitini tukaombe mvua inyeshe tupate umeme!

I Masanja, I refuse to believe in this! Hardwork, determination and discipline will liberate you! I say and I do! Amen!


Nadhani hujaelewa huyu jamaa anatibu nini habari zinasema hahusiani na haya uliyo comment
Mkuu
 
Hizi zote ni ishara za watu waliokata tamaa na maisha! We fail to invest in better infrastructures, health services, education, roads...etc for our children..na tunaanza kukimbilia Loliondo kutafuta dawa za kututibu ukimwi na kansa! Ama kweli! Umasikini ni kitu kibaya. Lakini ni kibaya zaidi kama ni umasikini wa fikra. I only wish tungekwenda Loliondo kukomboa mbuga yetu aliyogawiwa yule mwaraabu...perhaps angetupa kodi zaidi tukajenga ile barabara ya Arusha-Loliondo!

Kama mnabisha kwamba watanzania tumekata tamaa na maisha angalia vitu kama DECI vilipoingia hata wakubwa wa serikalini waliiba kodi zetu wakaenda 'kupanda mbegu' sijui leo DECI iko wapi...mifano ni mingi jamani

Ushauri wangu kwa watanzania wenzangu: Mafanikio hayana short cut. Huwezi kupata utajiri simply kwa kwenda kwa mganga! work hard and bit of 'luck' money will come. Ni kupenda hivi vitu vya mkato mkato ndo tunazidi kuwa masikini. Unalala..usiku asubuhi unataka uendeshe Lexus! Unless uibe utaipata wapi? Mwanafunzi anashindwa kusoma shule anataka mganga amsaidie kufaulu mtihani! Tunawanyima haki wanachi wetu na kupeleka hela zote uswisi huku wachache wakiishi maisha ya peponi...harafu unakuta hao hao wanasimama kwenye majukwaa wakitwambia twende kanisani kuombea amani ya nchi! Kuna watu wanatufanya tuone kwamba umasikini ni mapenzi ya Mungu kitu ambacho si kweli. Kikwete anaona kabisa DOWANS wanatuibia na wale wahusika kashindwa kuwawajibisha...they have swindled billions in our name....Kikwete huyo huyo anasimama mbele ya TV anatwambia kwamba matatizo ya umeme yanatokana na kazi ya 'Mungu' kwa sababu mvua haipatikani. Twende kanisani/msikitini tukaombe mvua inyeshe tupate umeme!

I Masanja, I refuse to believe in this! Hardwork, determination and discipline will liberate you! I say and I do! Amen!

Unaongea kwa sababu hayajakukuta, vaa viatu vya mgonjwa ambaye amelala kitandani miaka mitatu hajiwezi akisikia dawa hata ingekuwa wapi lazima ataifuata tu siyo kuamini nguvu za giza. fikiria watoto mzazi wao wanayemtegemea yuko hoi kitandani kwa kansa imeshamla anasubiri kifo unadhani wakisikia kuna dawa wataacha kumbebe mgonjwa kumpeleka, kwa vile hayajawakuta kuna watu wameumwa mpaka utawaonea huruma, tiba zote za hospital wamemaliza mpaka madaktari wanamwambia tumwachie Mungu, akisikikia dawa hataacha kwenda, kuna watu wana magonjwa kuliko unavyojua
 
Nimesikia kuna mti anaotumia kutengeneza hiyo dawa,hivi ni kweli wajameni?
 
If liberty means something at all is to tell people things they dont want to hear,......nashawishika kuunga mkono hoja ingawa ni watu wachache sana wanaweza kusupport hii hoja,...unajua sisi wanadamu linapokuja suala la uhai/afya hapo ndio hata kama ni kwa nguvu za giza maadam umepona mateso ya magonjwa then utaamini bila kuuliza,.....ndio maana ukichunguza kwa makini hata viongozi wetu wengi wa kiroho wanasisitiza na kuhubiri injili ya uponyaji na sio toba maake wanajua watapata waumini wengi kuliko kuhubiri injili ya toba kama ile ya nabii yahana pale nyikan,..........lakn hata kama ni mganga wa kienyeji mm naona hamna noma maake anatibu watu tena karibia na bure na wala haagui wala kupiga ramli,hivyo tuzidi kumuombea kwa Mungu,.....
 
Back
Top Bottom