Mtoa mada umenigusa maana
kama me napendana sana na mchumba wangu na nimekubali kubadili dini japo
dini yenyewe sidhani kama nitaifata nikishaolewa maana itakuwa ngumu
sana but hopes tutaishi vizuri ilimradi tuna hofu ya Mungu.
Bila shaka source ya maandiko ni mwl.christopher mwakasege;hongera kwa kutupa neno la uzima;
blessed