Nyakipambo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 435
- 141
Inatisha kweli , sijui kikipita hapa kwetu itakuwaje?
Hiyo ndiyo zawadi ya kumuunga mkono Cameron, watubu na wamrudie Mungu wao.Picha ya Kimbunga Sandy kama kilivyonekana hapo jana.
View attachment 69755
Mzee wa Upako amezuia.Inatisha kweli , sijui kikipita hapa kwetu itakuwaje?
Usiombee itokee,temea mate chini ! kuna uwezekano wa kutoweka jiji hili uchwara katika ramani.
Haya huwakumba zaidi wenye zambi !!!!