Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Pichani ni jezi na mpira wenye saini za wachezaji wa timu ya Chicago Bulls ya nchini Marekani.Zawadi hizo
alipewa Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete alipokuwa ziarani Marekani hivi karibuni.Rais Jakaya Kikwete alipata
kucheza mpira wa vikapu.Pichani kulia ni mwandishi wa Rais Msaidizi,Premmy Kibanga akizionyesha jezi hizo
kwa waandishi wa Habari na Kushoto ni mwandishi wa Habri wa kituo cha channel 5 cha jijini Dar es Salaam BW Patric.