Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
mail mbili
Chilonwa1.Chang'ombe
2.Chamwino
3.Chadulu
4.Chinangali
5.Chinyoya
6...
7...
Ongezea kama umewahi kuishi Dom
Ni km 40Mvumi misheni hadi dom mjini ni kilometa ngapi?
Kipo kweli ni Homboro siyo kile kingine cha Chimwaga.Chuochakata
Yaan hawa watu, kila kona. Hadi inafikia kipindi wakiniomba nawauliza km wana chenchi ya elfu kumi ili niwapatie. Maana utashangaa anakuomba wewe una buku tano tu huku yeye ana kilo ndani ya kububu.
Yani bado unawasaidia. Mi nimeshajitoa ufahamu kuwapa hao watu, nimeshawai kuumpa ela mzee mmoja , jioni na mkuta Chaduru anapata pombe ya kienyeji. Ombaomba wengi Dodoma wanaenda na target . kuna moja yeye anakwambia esabu yake kwa siku elfu 20.Yaan hawa watu, kila kona. Hadi inafikia kipindi wakiniomba nawauliza km wana chenchi ya elfu kumi ili niwapatie. Maana utashangaa anakuomba wewe una buku tano tu huku yeye ana kilo ndani ya kububu.
Hao Majamaa wapuuz Kazi ha wapendi Kabisa kusoma hawataki pia yaani elimu kwa wagogo Haina ishuYani bado unawasaidia. Mi nimeshajitoa ufahamu kuwapa hao watu, nimeshawai kuumpa ela mzee mmoja , jioni na mkuta Chaduru anapata pombe ya kienyeji. Ombaomba wengi Dodoma wanaenda na target . kuna moja yeye anakwambia esabu yake kwa siku elfu 20.