Mambo ya Bongo haya.....balaa

Magezi

JF-Expert Member
Oct 26, 2008
3,359
692
BUS3.jpg


source: Michuzi blog
 
Ukiona picha kama hizi na idadi ya banadamu wanaopoteza maisha yao kila siku katika barabara zetu unabaki kujiuliza je, nchi hii ina viongozi au watawala tu (yaani ambao kazi yao ni kututawala bila kujali welfare zetu)?
 
Ndio mambo ya usafiri wa Dar huo, hata mkiwa wachache lazima mpiganie kuingia.
 
dar mabasi yana rangi za mistari kuonyesha wapi linaenda, kwa hiyo hii si dar na kama ni dar basi ni 4 or 5 years ago
 
Hapo siyo dar, nadhani hata ukiona mandhari ya miti kwa nyuma unaelewa labda Arusaha, coaster za kwenda moshi
 
Ndio mambo ya usafiri wa Dar huo, hata mkiwa wachache lazima mpiganie kuingia.

Ni kweli dada Pretty, siku moja tulikuwa watu wachache tu kwenye kituo cha daladala ikaja Coaster ambayo tusingeweza hata kuijaza na ilikuwa na abiria wachache sana ndani nikashangaa kuona watu wanasukumana kuingia. Nilishangaa kweli.
 
Ni kweli dada Pretty, siku moja tulikuwa watu wachache tu kwenye kituo cha daladala ikaja Coaster ambayo tusingeweza hata kuijaza na ilikuwa na abiria wachache sana ndani nikashangaa kuona watu wanasukumana kuingia. Nilishangaa kweli.


next time kuwa karibu na wallet yako na simu!
 
Hii mbona cha mtoto sana ukilinganisha na jinsi watanzania wanavyosafiri katika mazingira ya hatari huko vijijini. Kuna mkangaf unaitwa [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/MV_Liemba"]MV Liemba[/ame]. with a reputation of being the oldest passenger ship still in service (built 1913).Ukiangalia jinsi watu wanavyosafiri Lake tanganyika utashangaa kwa nini hatuna vilio kama vya MV Bukoba vingi zaidi.
 
Hii mbona cha mtoto sana ukilinganisha na jinsi watanzania wanavyosafiri katika mazingira ya hatari huko vijijini. Kuna mkangaf unaitwa MV Liemba. with a reputation of being the oldest passenger ship still in service (built 1913).Ukiangalia jinsi watu wanavyosafiri Lake tanganyika utashangaa kwa nini hatuna vilio kama vya MV Bukoba vingi zaidi.

Mpulungu%20water%20taxi.JPG


Mpulungu%20MV%20Liemba.JPG

 
next time kuwa karibu na wallet yako na simu!

Wabeja wang'wa baba. Ndo maana niko makini sana siku hizi baada ya kuchomolewa kiasi kikubwa cha pesa mfukoni pale stendi ya Shule ya Uhuru Mchanganyiko (siku hizi kuna Benjamini Mkapa High School), iliniuma sana.
 
Iwe Dar au wapi lakini tukubali ndio hali ya Tanzania hii, ndio usafiri wetu. Nafikiri mleta picha alikuwa na la msingi linalomkera kwa kuleta picha hii na wala si umuhimu wa picha imepigwa wapi, nami kwa picha hii imenikumbusha kitu. Biashara ya usafiri ni biashara uria, soko liko wazi (abiria si wa kutafuta), mbona matatizo ya usafiri ndio yanasizidi tatizo liko wapi?. Nakumbuka miaka ile ya mwisho ya 80 wakati ubinafsishaji ndio unapamba moto, kila aliyepata pesa zake za kupunguzwa kazi alikwenda kununua daladala. Leo hii waliowengi wamefilisika na madaladala walionunua hayapo tena. Tatizo liko wapi?, tukipata jibu la swali hili tutakuwa tumepata majibu ya maswali ya biashara nyingi zinazofanywa na walalahoi.
 
Mmmm picha haina uhalisilia da mazingira ya dar mbona kama kuna majengo ya karakana,sio vijana walikuwa wanakwenda beach
 
Usiite MV.Liemba mkangafu! Mi nafanya kazi humo. Mbona usafiri iko poa tuu! Njoo usafiri na Liemba uone kitu cha tangu 1914 kinavyo kata maji.
 
hahahahahahah, haya sasa waliochokoza wenye vyombo vyao hao wamejibu. kitu cha 1914 kipo bomba? duh hii kweli hatari.....
 
Inaweza ikawa Dar kwani japo magari yana mistari ila kuna wakati magari ambayo sio daladala hufanya trip kwa kuibia trip. Tena siku hizi nenda Posta pale asubuhi uone wanaokwenda Masaki, hadi wa dada wanaingilia dirishani.
 
Mmmm picha haina uhalisilia da mazingira ya dar mbona kama kuna majengo ya karakana,sio vijana walikuwa wanakwenda beach

Mkuu inaonekana umetoka bongo siku nyingi sana. Mimi binafsi nimeshawahi kuingilia dirishani pale Ubungo, nilikuwa naenda Tabata Sengerea. Hiyo ni hali ya kawadaida kwa mabasi ya Mwenge-Mbagala, Ubungo-Gongolamboto na Ubungo-T/Segerea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom