Gabriel3266
New Member
- Aug 2, 2010
- 4
- 0
Habari zenu wenzangu wa JF. Naitwa Gabriel, natoka Marekani. Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu huko Marekani lakini niko TZ siku hizi. Nimejitolea kama mwalimu, lakini kwa sasa najaribu kutengeneza mradi wa kuwatetea wafungwa wa kike, hasa hasa wafungwa wajawazito na watoto wao. Nataka kujifunza zaidi kuhusu uhusiano wa haki za wanawake na haki za uhalifu na nafasi za kupata michango, na kadhalika. Kwa hivyo, ningependa sana kuwasiliana na wanaJF kuhusu mambo hayo. Asanteni sana na kwa heri. Nangoja kwa hamu kuzungumza na ninyi. Nawatakia kila la heri.
Wasalaam,
Gabriel Maeck
PS. Nimehariri ujumbe huu kwani najua kuandika lugha ya kitaa sio ya heshimu. Nisameheni.
Wasalaam,
Gabriel Maeck
PS. Nimehariri ujumbe huu kwani najua kuandika lugha ya kitaa sio ya heshimu. Nisameheni.