Mambo usiyoyajua kutoka kwa Bill Gates

tamimusalim

JF-Expert Member
Jun 17, 2014
1,822
494
ImageUploadedByJamiiForums1410874355.796862.jpg

Anaitwa William Henry Gates 3 ingawa wengi upenda au wamezoeya kumwita Bill Gates,ni mtu tajiri namba moja katika dunia yetu kwa mujibu wa mtandao wa forbes na jarida la bloomberg billionaires list 2014 ,na haya ndio mambo nadhani huyajui kutoka kwa bilionea huyu

1. Alitangazwa bilionea akiwa na miaka 32 tu na ilikuwa mwaka 1987

2. Alifukuzwa shule akiwa na miaka13 kwa kuharibu kompyuta ya shule

3. Kabla hajaoaa alikuwa miongoni mwa mabachela wasafi zaidi na wanaojua kutunza nyumba zao

4. Ni mkatoliki mcha Mungu sana

5. Watu wake wa karibu wanamlalamikia tabia yake ya kutopokea simu akipigiwa au kujibu sms,hata mke wake nae amelalamika sana tabia hii ya mumewe

6. Aliwahi kufungwa jela

7. Ni mshabiki mkubwa wa msanii Lady Gaga na Bruno Mars

8. Ametangaza kuwa kama akifa wanawe 3 wasirithi hata sent tano yake isipokuwa utajiri wake wapewe masikini duniani kote

9. Anayachukia sana maisha yake ya kitajiri sababu anashidwa kuishi maisha yake ya kawaida.

ImageUploadedByJamiiForums1410875293.845618.jpg
 
Daah wasirithi hata cent moja....duuh sasa hadi hapo watoto watakuwa maskini na wao wanatakiwa kuwa na share kwenye Hilo fungu la kugawia maskini.
 
Sehemu kubwa ya mtaji wake alipewa na hifadhi ya mfuko wa rockifeller
 
Kwakuwa watakuwa wamebaki bila kitu then na wao watatunzwa kama sehemu ya wahitajiiiiii bill gates kwel mjanja amewaacha maskn ili wapate nafas ya kufaid..
 
Thubutu


Hukumuelewa mchangiaji wa kwanza.

Alichomaanisha ni kwamba iwapo kama kweli Bill Gates anayachukia maisha yake ya kitajiri(aliyonayo sasa/tunazungumzia wakati uliopo) basi agawe mali zake zote ili aweze ishi maisha yake ya kawaida
kweli hapo lipo swali mkuu kwanini asigawe utajiri wake sasa kama anayapenda maisha ya kawaida
 
kwa wewe yeyote aliye na zaidi ya miaka 32 ..una hali gani kiuchumi sasa hivi? ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Tafakari...chukua hatua..hakielimuuu
nb: mi sijafika 32 bado.
mkuu sisi hata kitanda huna miaka iyo ila mwenzetu katangazwa bilionea miaka iyo 32 tu yaani mdogo sanasana
 
Back
Top Bottom