ndugu wanajf ni jana tu nimepost mawazo ya mwanaume aliyokuja anyasema kwangu kwa kuomba ushauri nashukuru kwa waliochangia. Sasa kikubwa zaidi leo hii hasubui mwanamke wa yule jamaa nimekutana naye nikiwa nakwenda kazin akanisimamisha, akadai mume wake hamuon kama mwenye thaman make anakunywa pombe kila siku na anakuja anajirusha kitandandan tu hata hajafanya chochote kile even hata kuoga. akadai anasubiri ajifungue ili amuachie nyumba yake aendelee kukaa kwake kule ankofanya kazi maana amechoka kwa hili.
mwanamke akiwa analia amedai kuwa mara nyingine mwanaume anakuwa anachati na wanawake live kwenye simu wakiwa sebulen.sasa nimeshindwa la kumwambia hapo lakin nikamsihi avumilie ili tuonane kwanza na mwanaume tuongee hili make nayeye alinifuata kama rafiki yake kunieleza hayo na mke ameniona kama rafiki wa mke wake akaniambia ili abadilike. wana jf hebu nipe ushauri niwafanyeje hawa wanandoa?
mwanamke akiwa analia amedai kuwa mara nyingine mwanaume anakuwa anachati na wanawake live kwenye simu wakiwa sebulen.sasa nimeshindwa la kumwambia hapo lakin nikamsihi avumilie ili tuonane kwanza na mwanaume tuongee hili make nayeye alinifuata kama rafiki yake kunieleza hayo na mke ameniona kama rafiki wa mke wake akaniambia ili abadilike. wana jf hebu nipe ushauri niwafanyeje hawa wanandoa?