Mambo na fitu fyote fizuri finatoka Mbeya

Midavudavu

JF-Expert Member
Jan 23, 2012
287
59
Wajameni mpangaji mwenzangu kila siku ananitambia kuwa mambo na vitu vyote vizuri Tanzania vinatoka Mbeya. Nililikataa hili lakini siku zinavyosonga mbele nakaribia kuamini. Niiongezeeni data ili niamini zaidi. Anasema;
1. demokrasia mbeya inaeleweka zaidi na watu kuliko sehemu nyingine
2. wabunge makini wanapatikana mbeya
3. wakulima wakubwa wanapatikana mbeya
5 Mabonde mazuri ya kilimo yanapatikana mbeya
6. kuna vyanzo vingi vya kuweza kuzalisha umeme
7. ....................................................
 
Wajameni mpangaji mwenzangu kila siku ananitambia kuwa mambo na vitu vyote vizuri Tanzania vinatoka Mbeya. Nililikataa hili lakini siku zinavyosonga mbele nakaribia kuamini. Niiongezeeni data ili niamini zaidi. Anasema;
1. demokrasia mbeya inaeleweka zaidi na watu kuliko sehemu nyingine
2. wabunge makini wanapatikana mbeya
3. wakulima wakubwa wanapatikana mbeya
5 Mabonde mazuri ya kilimo yanapatikana mbeya
6. kuna vyanzo vingi vya kuweza kuzalisha umeme
7. ....................................................
9.
makanisa mengi karibu kila koo na dhehebu lake,
10. Wanakozika watu wakiwa hai mby,
11.waumini wengi wa kitulano watuhumiani ni wachawi mby.
12. Walikompiga presider mawe ni mby.
13, mengine ngoja nikumbuke,,
 
9.
makanisa mengi karibu kila koo na dhehebu lake,
10. Wanakozika watu wakiwa hai mby,
11.waumini wengi wa kitulano watuhumiani ni wachawi mby.
12. Walikompiga presider mawe ni mby.
13, mengine ngoja nikumbuke,,

Na makanisa mengi, mapasta NA MANABII feki inaongoza
Kulia sana misiba
 
Duh!maharage mazuri na matamu,mbeya...muchele mzuri wa kyela, mbeya....wanaojifanya walokole, mbeya....wapiga puchu kwa sana,mbeya...,walogi,mbeya...wanaovunja ndoa zao,mbeya....mimi natokea,mbeya....
 
Wapiga nondo wako mbeya; Waabudu uchawi wengi wako mbeya na hata ukimwi ulienea zaidi mbeya; kweli fyitu fyote fyinatoka mbeya
 
Duh!maharage mazuri na matamu,mbeya...muchele mzuri wa kyela, mbeya....wanaojifanya walokole, mbeya....wapiga puchu kwa sana,mbeya...,walogi,mbeya...wanaovunja ndoa zao,mbeya....mimi natokea,mbeya....
We Mangi unatokea mbeya gani aisee?
 
Back
Top Bottom