Midavudavu
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 287
- 59
Wajameni mpangaji mwenzangu kila siku ananitambia kuwa mambo na vitu vyote vizuri Tanzania vinatoka Mbeya. Nililikataa hili lakini siku zinavyosonga mbele nakaribia kuamini. Niiongezeeni data ili niamini zaidi. Anasema;
1. demokrasia mbeya inaeleweka zaidi na watu kuliko sehemu nyingine
2. wabunge makini wanapatikana mbeya
3. wakulima wakubwa wanapatikana mbeya
5 Mabonde mazuri ya kilimo yanapatikana mbeya
6. kuna vyanzo vingi vya kuweza kuzalisha umeme
7. ....................................................
1. demokrasia mbeya inaeleweka zaidi na watu kuliko sehemu nyingine
2. wabunge makini wanapatikana mbeya
3. wakulima wakubwa wanapatikana mbeya
5 Mabonde mazuri ya kilimo yanapatikana mbeya
6. kuna vyanzo vingi vya kuweza kuzalisha umeme
7. ....................................................