Mambo mengine utata mtupu.

Nadhani teacher alihisi kuwa huenda mkewe bado alikuwa na mapenzi ya dhati kwa marehemu.
 
Nafikiri ticha aligundua kuwa marehemu alikua bado anapiga moja moja na akifikira kwamba visafari vya hapa na pale vilikua vya kutosha inakua ni ngumu kumeza.
Kama ulikuwepo vile,huyu mama dharura za kwenda kyela zilikuwa haziishi,na anakaa mpaka wiki nzima!
 
Duh, kuna watu wanaoana kama vile wanaigiza.

Maswali Mme: hakujua kama kuna watoto? Hakufanya due diligence hata kidogo? Watoto wawili unaweza waficha?
Maswali Mke: Kwa nini alificha msiba? Kwa nini alisema baada ya kufika huko.

Hii story ya kutunga, ila ya kwenye magazeti ya 'ungekuwa ww ungefanyaje?'
Kuhusu watoto wale wawili jamaa anawajua vizuri na alikuwa anaishi nao hapa hapa Tunduma.
 
hata mimi ningekasirika sababu kitendo cha kustuka hivyo kinaonesha kwamba anampenda sana ex kuliko mumewe halisi,halafu kwanini ukaniambie aliyekufa baada ya kufika msibani.mapenzi wakati mwingine klorokwini.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom