kusoma nako kunasaidia,jamaa kaenda uarubuni,kataka kuvuta kuvuta segera,mbele yake kuna mwarabuana kibiriti na hajui amwambie vp bac ilimtoka tu give me jahannam
leo nimecheka sana, nimekutana na rafiki yako wa primary amenipa story zako,eti kila mwalim alipokuwa akifuta notes ubaon ww unafuta kwenye daftari...!
leo nimecheka sana, nimekutana na rafiki yako wa primary amenipa story zako,eti kila mwalim alipokuwa akifuta notes ubaon ww unafuta kwenye daftari...!