Hivi wewe kwa akili zako zote umejitahidi kufiri ukaishia hapa!! wabunge wanachaguliwa kwa ajiri gani?
Mdee ni mwakilishi wa wananchi yuko busy na kulalamika kwenye majukwaa na kuacha wananchi wake hasikilizi hata hoja zetu. Lo!!
Hivi nyie hamna hata akili ya kufikiri? hivi mnadhani kila mtu ni mfuasi wa CHADEMA? acheni mambo ya kidikteta. hii inaonesha kabisa wafuasi wa CHADEMA hamna hoja zaidi ya ushabiki tu. Mnataka tukubali wakati sio? Mnaahidi msichokiweza na mmetekwa pasipo hata kufikiri. Mimi sio kipofu lazima tuhoji na mtoe majibu sahihi.
Hapa mnaaza kutukana, hamtoi hoja yoyote. Je tuawaamini tu kwa lipi, hamtoi hoja badala yake mnatoa matusi.
Hivi chadema ni chama cha matusi?
Huu ni ujinga kupelekwa bila kuhoji. Huu ni ujinga.
Hivi wewe kwa akili zako zote umejitahidi kufiri ukaishia hapa!! wabunge wanachaguliwa kwa ajiri gani?
Mdee ni mwakilishi wa wananchi yuko busy na kulalamika kwenye majukwaa na kuacha wananchi wake hasikilizi hata hoja zetu. Lo!!
Hawa wanaolalamika ni kweli wana haki ya kulalamika kwa sababu kuna matarajio yao hayajatekelezwa na Wabunge wao hasa kutoka chadema. kama walivyozoea
1. hawajaletewa bendi wacheze kiduku
2. Hawajagawiwa Tshirt, kofia na kanga
3. Kwenye mikutano hawakodishiwi malori, wakitaka kwenda wanatakiwa kulipa 300 ya nauli
4. kwenye mikutano hakuna pilao wala mgao wa elfu mbili mbili
Wabunge wa chadema wanapoteza muda mwingi kushughulikia Mabarabara, madarasa, nyumba za walimu, maji, umeme na kuwabana mafisadi tu huku wakisahau mahitaji muhimu ya wananchi kama hayo 4 hapo juu
Hvi we Anna unajua uksemacho? Ulitaka Mbunge akufuate nyumban kwako?
Ficha upumbavu wako, Usifiche busara zako.
Mwehu kweli wewe,pesa mmezishikilia unataka uone maajabu gani.sikiliza bunge uone wanavyohaha hao mafisadi.
Wanapoteza mda basi for nothing. Ni kama Baba anakuwa yuko busy na kazi kutafutia watoto wake chakula na kutokuwa na muda wa kuongea nao kuwakanya na kucheka nao. Huu ni upuuzi ni mambo ya kibiashara tu kutafuta wateja wapya.
Nothing they are doing sawa?
bajeti ya serikali ya ccm ni tr 15.
deni la taifa ni tr 22.
gharama za kuiendesha serikali ni tr 10.
upo anael?
hoja yako haina msingi, unazungumzia CHADEMA kwa muda wao, kwani hao CCM waliokaa muda wote huo tangu uhuru wameleta nini??
wape muda kama uliovyo wapa CCM alafu ndo uwalaumu.
kipindi hiki cha bajeti nape amewaongezea posho na inabidi mkomae kwani yataibuka mengi huko bungeni na yapaswa mjibu.Magwanda wanaposhikwa pazuri huanza kufoka na kulalamika. Jasho kwenye magwanda ya khaki hutoa harufu ya kikwapa.
Kwani hao Mafisadi na Magamba waliokaa zaidi ya miaka 50 ya UHUNI wamefanya nini tofauti na ufisadi? Usikubali tu kila wakati kutumiwa na Mafisadi kuja kupima upepo hapa jf!
Sina hakika kama wewe ni MTU mwema kwa cdm tunahitaji kujipanga na kuwambia ukweli wabunge kwani so far tofauti yao na wanaccm ktk kutuletea maendeleo ni ndogo mno. na pili kumbuka kasoro hizi tunazoziona kwa CCM siku CCM tukipata nchi hii inawezekana kabisa tukashindwa hasa tispojipanga kuperfom kwa sasa, na kwa maana hiyo kasoro itakuja onekana zaidi kuliko kwa hawa ccm. zingatia histori ya maisha inaonekana kuwa kila siku inayokuja watu huona heri ya jana.Katika watu wenye mawazo VIZA wewe unaongoza. Wewe ulitaka halima akuletee hela nyumbani kwako? Chemsha bongo yako. Information is POWER. Hawa CHADEMA wamejitahidi sana kutupa taarifa motomoto za madudu serikali inayofanya. CDM imekuwa kama remote control kwa ChamaCha Majambazi wa nchi hii. CDM IS THE ONLY OPPOSITION PART THAT ACTS AS A MONITOR FOR THE CCM. Umenipata hapo? Ukiona kinachofanywa na CCM kwa siku za hivi karibuni ni kutokana na kuogapa kichapo cha CDM.
THINK BIG
Acha hizo ndoto. kama wameshindwa kidogo je wataweza kikubwa? au ndio kuwa na wabunge wa viti maalumu kutoka sehemu moja? je wanawakilisha nini? Hatakuja kuwaona na kusikiliza wananchi tuwape mda?
je Mdee yuko busy kwa ajili ya nini? wacha hivyo ndugu yangu.