Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Nimekua najiuliza jinsi wananchi walivyo wepesi wa kudanganyika. Tangu wabuge wa CHADEMA wachaguliwe hakuna chochote walichofanya zaidi ya kupiga kelele ambazo hazitusaidii sisi wananchi.
Wanapiga kelele na kulalamika kila wakati. Mdee kafanya nini sasa jimbo la Kawe? tangu achaguliwe sijawahi hata siku moja kumuona akija japo kuongea na wananchi. Je huyu kweli ni mwakilishi wetu? au wanawakilisha mawazo yake?
Huu uwakilishi unamaana gani sasa hapa.
Wanataka wajipatie sifa ili malengo yao yatimie. Tuwe makini sana na ujanja wao.
Wanapiga kelele na kulalamika kila wakati. Mdee kafanya nini sasa jimbo la Kawe? tangu achaguliwe sijawahi hata siku moja kumuona akija japo kuongea na wananchi. Je huyu kweli ni mwakilishi wetu? au wanawakilisha mawazo yake?
Huu uwakilishi unamaana gani sasa hapa.
Wanataka wajipatie sifa ili malengo yao yatimie. Tuwe makini sana na ujanja wao.