Mambo makubwa waliofanya wabunge wa CHADEMA majimboni kwao

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,834
Nimekua najiuliza jinsi wananchi walivyo wepesi wa kudanganyika. Tangu wabuge wa CHADEMA wachaguliwe hakuna chochote walichofanya zaidi ya kupiga kelele ambazo hazitusaidii sisi wananchi.

Wanapiga kelele na kulalamika kila wakati. Mdee kafanya nini sasa jimbo la Kawe? tangu achaguliwe sijawahi hata siku moja kumuona akija japo kuongea na wananchi. Je huyu kweli ni mwakilishi wetu? au wanawakilisha mawazo yake?

Huu uwakilishi unamaana gani sasa hapa.

Wanataka wajipatie sifa ili malengo yao yatimie. Tuwe makini sana na ujanja wao.
 
gamba @work
T2015CDM bora upande mapema mwenyewe kuliko likuache kama makapi halitakua na sehemu ya kudandia milango ikifungwa haitafunguliwa kamwe!
 
Kwani hao Mafisadi na Magamba waliokaa zaidi ya miaka 50 ya UHUNI wamefanya nini tofauti na ufisadi? Usikubali tu kila wakati kutumiwa na Mafisadi kuja kupima upepo hapa jf!
 
Hvi we Anna unajua uksemacho? Ulitaka Mbunge akufuate nyumban kwako?
Ficha upumbavu wako, Usifiche busara zako.
 
Mwehu kweli wewe,pesa mmezishikilia unataka uone maajabu gani.sikiliza bunge uone wanavyohaha hao mafisadi.
 
Kazi waliyoifanya wabunge wa chadema ni kubwa kuliko unavyofikiri.
pamoja na kwamba chadema haina serikali, kelele za wabunge wake imesaidia serikali legelege ya kikwete kuact.
Kuhusu jimbo la kawa, unatakiwa utuwekee Halima aliahidi nini wakati wa kampeni, na hajatekeleza nini.
Wabunge wa chadema wapo 48 bungeni, unasema wanapiga kelele.
Hebu tuambie wabunge wa ccm nani ametekeleza ahadi zake!
Upumbavu wa kurithishwa ni mbaya sana
 
Nimekua najiuliza jinsi wananchi walivyo wepesi wa kudanganyika. Tangu wabuge wa CHADEMA wachaguliwe hakuna chochote walichofanya zaidi ya kupiga kelele ambazo hazitusaidii sisi wananchi.

Wanapiga kelele na kulalamika kila wakati. Mdee kafanya nini sasa jimbo la Kawe? tangu achaguliwe sijawahi hata siku moja kumuona akija japo kuongea na wananchi. Je huyu kweli ni mwakilishi wetu? au wanawakilisha mawazo yake?

Huu uwakilishi unamaana gani sasa hapa.

Wanataka wajipatie sifa ili malengo yao yatimie. Tuwe makini sana na ujanja wao.

Wewe uko jimbo gani? ulikuwa na matarajio gani? yamefanyika kwa kiwango gani? unafiriki ni nini kikwazo? kwa mtizamo wako binafsi undhani ni kwa vipi matarajio yako yana/ngeweza kutekelezeka? ukiweza kujibu angalau 50% ya maswali haya nitaku-rank kwenye kundi la Mwgulu Mchemba.
 
Wewe uko jimbo gani? ulikuwa na matarajio gani? yamefanyika kwa kiwango gani? unafiriki ni nini kikwazo? kwa mtizamo wako binafsi undhani ni kwa vipi matarajio yako yana/ngeweza kutekelezeka? ukiweza kujibu angalau 50% ya maswali haya nitaku-rank kwenye kundi la Mwgulu Mchemba.

Nyongeza: kwa taarifa tu mimi naishi Jimbo la Kawe na Mdee amefanya mikutano maeneo yafuatayo na kushirikiana na wananchi katika maendeleo kama shule - Kata ya kunduchi alifanya mkutano mwezi wa 12 mwaka jana alichangia 6,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa fensi shule ya Mtakuja, kata ya Bunju alifanya mkutano mwezi wa pili wenyeviti wa mtaa wa ccm wakakataa kuhudhuria lakini wanachi wakaja wengi akaweka mikakati kadhaa ( siitaji ili nione majibu yako kwanza), Kata ya Mbweni alifanya mkutano mwezi wa nne, ulitaka akupigie simu?
 
bajeti ya serikali ya ccm ni tr 15.
deni la taifa ni tr 22.
gharama za kuiendesha serikali ni tr 10.
upo anael?
 
Nimekua najiuliza jinsi wananchi walivyo wepesi wa kudanganyika. Tangu wabuge wa CHADEMA wachaguliwe hakuna chochote walichofanya zaidi ya kupiga kelele ambazo hazitusaidii sisi wananchi.

Wanapiga kelele na kulalamika kila wakati. Mdee kafanya nini sasa jimbo la Kawe? tangu achaguliwe sijawahi hata siku moja kumuona akija japo kuongea na wananchi. Je huyu kweli ni mwakilishi wetu? au wanawakilisha mawazo yake?

Huu uwakilishi unamaana gani sasa hapa.

Wanataka wajipatie sifa ili malengo yao yatimie. Tuwe makini sana na ujanja wao.
Annael, uwe unaishirikisha akili yako unapotoa mchango wako hapa jamvini, wacha kutuletea mawazo ya kishabiki. Ninani mwenye serikali? ninani anayekusanya kodi? akishakusanya kodi anazitumiaje kuleta maendeleo kwa wananchi?Wabunge wa CCM wameleta kitu gani tangu wamechaguliwa? Nakuonea huruma kwakuwa hata hujui kazi za wabunge ni zipi!
 
Nimekua najiuliza jinsi wananchi walivyo wepesi wa kudanganyika. Tangu wabuge wa CHADEMA wachaguliwe hakuna chochote walichofanya zaidi ya kupiga kelele ambazo hazitusaidii sisi wananchi.

Wanapiga kelele na kulalamika kila wakati. Mdee kafanya nini sasa jimbo la Kawe? tangu achaguliwe sijawahi hata siku moja kumuona akija japo kuongea na wananchi. Je huyu kweli ni mwakilishi wetu? au wanawakilisha mawazo yake?

Huu uwakilishi unamaana gani sasa hapa.

Wanataka wajipatie sifa ili malengo yao yatimie. Tuwe makini sana na ujanja wao.

Mkuu, tuachie nafasi ya kufuatilia bunge basi, sio vizuri kuendekeza njaa muda wote, muambieni nape awaweke kwenye permanent payroll haya malipo ya posho ndio chanzo cha ubize wote huu.
 
Nimekua najiuliza jinsi wananchi walivyo wepesi wa kudanganyika. Tangu wabuge wa CHADEMA wachaguliwe hakuna chochote walichofanya zaidi ya kupiga kelele ambazo hazitusaidii sisi wananchi.

Wanapiga kelele na kulalamika kila wakati. Mdee kafanya nini sasa jimbo la Kawe? tangu achaguliwe sijawahi hata siku moja kumuona akija japo kuongea na wananchi. Je huyu kweli ni mwakilishi wetu? au wanawakilisha mawazo yake?

Huu uwakilishi unamaana gani sasa hapa.

Wanataka wajipatie sifa ili malengo yao yatimie. Tuwe makini sana na ujanja wao.

Acha upofu wako kwani wewe ulitaka aje kuzungumza na wewe hapo nyumbani kwako?acha hizo nenda kapige mswaki!
 
We naona unauharo kweli.
Juzi Juzi nimetoka kumsikiliza mheshimiwa Halima mdee pale viwanja vya Namanga Msasani! Hivi mnalipwa sh. ngapi kuja kueneza uongo au huwa Nape hawapi update kabla hamajaja hapa?
 
Nimekua najiuliza jinsi wananchi walivyo wepesi wa kudanganyika. Tangu wabuge wa CHADEMA wachaguliwe hakuna chochote walichofanya zaidi ya kupiga kelele ambazo hazitusaidii sisi wananchi.

Wanapiga kelele na kulalamika kila wakati. Mdee kafanya nini sasa jimbo la Kawe? tangu achaguliwe sijawahi hata siku moja kumuona akija japo kuongea na wananchi. Je huyu kweli ni mwakilishi wetu? au wanawakilisha mawazo yake?

Huu uwakilishi unamaana gani sasa hapa.

Wanataka wajipatie sifa ili malengo yao yatimie. Tuwe makini sana na ujanja wao.


Annael,

Ulienda shule au wewe kilaza?

Kama ni kudanganyika, basi wewe wa kwanza.

Jifunze kufuata kilicho nyuma ya pazia. Kama hujui nini kazi ya Wabunge, uliza, kwani kuuliza SI UJINGA!
 
Annael,

Ulienda shule au wewe kilaza?

Kama ni kudanganyika, basi wewe wa kwanza.

Jifunze kufuata kilicho nyuma ya pazia. Kama hujui nini kazi ya Wabunge, uliza, kwani kuuliza SI UJINGA!
 
Kwani hao Mafisadi na Magamba waliokaa zaidi ya miaka 50 ya UHUNI wamefanya nini tofauti na ufisadi? Usikubali tu kila wakati kutumiwa na Mafisadi kuja kupima upepo hapa jf!

HAJATUMWA ila anasema jambo lililo dhahiri.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Nimekua najiuliza jinsi wananchi walivyo wepesi wa kudanganyika. Tangu wabuge wa CHADEMA wachaguliwe hakuna chochote walichofanya zaidi ya kupiga kelele ambazo hazitusaidii sisi wananchi.

Wanapiga kelele na kulalamika kila wakati. Mdee kafanya nini sasa jimbo la Kawe? tangu achaguliwe sijawahi hata siku moja kumuona akija japo kuongea na wananchi. Je huyu kweli ni mwakilishi wetu? au wanawakilisha mawazo yake?

Huu uwakilishi unamaana gani sasa hapa.

Wanataka wajipatie sifa ili malengo yao yatimie. Tuwe makini sana na ujanja wao.

Naona ana matatizo ya kufikiri..kwani hao wabunge wa magamba wamefanya nini?.....think before you open your mouth....
 
Back
Top Bottom