M4C! Chana chana hawa mafisadi mpaka kieleweke!
Karibu ndani ya chama makini kwa kwa Taifa!
Karibu mkuu!!!!!!!!Leo hii majira ya mchana, nimeitia mkononi kadi ya uanachama ya CHADEMA na kuitupilia mbali ile ya CUF. na mwaka 2015 nagombea ubunge visiwani hata ule wa viti maalum lazima kieleweke.
M4C idumu milele na milele, na hakika tutashinda!
Hivi sasa tunaisubiri M4C Zenji!
Leo hii majira ya mchana, nimeitia mkononi kadi ya uanachama ya CHADEMA na kuitupilia mbali ile ya CUF. na mwaka 2015 nagombea ubunge visiwani hata ule wa viti maalum lazima kieleweke.
M4C idumu milele na milele, na hakika tutashinda!