Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
ina maana mtu chake akiumwa mgongo.. Husninyo hawezi kumkanda........?
hebu ngoja bwana nikamkande mwenzio....hivi hujawahi kuumwa kiuno wewe.....?
Last edited by a moderator:
Kazi kwenu!
sasa shem....kwa nini uumwe na kiuno wakati shem wako nipo hapa.....hebu come this way nikukande....?
mmmmh.....sina la kusema....
makalio hayooooo, viguu vyembambambaaaaa
Kikubwa Punda, mlio wa nini !
mmmhhh kuhusu Bishanga naomba umpe muda, alisutwa juzi na Zinduna na wanawake wengi tu walihudhuria, kasoro waliolishwa yamini na Bishanga ndio hawakufika Kongosho na mwenzie BADILI TABIA, hata kitoto anachokifukuzia The secretary alikuwepo, alipakwa hina, so anaona noumer kutoka nje, mapaka hina itoke kwanza! jana ilikuwa ndio anua tanga la mdundiko! ila yupo kawa mpoleeee! msalimie kadogoo sana!Jamani cacico mie nipo mpendwa si unajua tena mambo ya kuandaa budget ya wizara nyeti lol...........afu nimekununia manake kama kweli ulinimiss mbona hata hujaniDIPU??????......kadogoo siwezi kumfanyia tohara bila mamake wa ubatizo kuwepo.......afu ukinionea Bishanga mwambie anipigie yule mdada aliyeniachia ananisumbua sana hivyo afanye mpango aje amchukue....!
naomba kuchukua fursa hii, kuyashukuru na kuyasifia macho yako kwa kujua kupembua na kuchuja nafaka! kudos to u! kiuno kinatakiwa sasa kipatiwe tiba, hakipaswi asilani kuumwa! lol! Preta mzima weye?khaaa.....bora umeona....
wallah tiba yapaswa kupatikana! pole sana, leo umeamkaje lakini? bado chachonyota? au jana ulipata japo kitulizo maumivu?Basi ndo ujue sasa hata wenye miili hiyo tunaugua!
Labda kunako hayohayo mazoezi ndiko tatizo lilipoanzia!
..kijana umepewa lift sasa unataka kupiga honi na kufunga breki...?...unasalimia wake za watu hovyo hovyo eehnaomba kuchukua fursa hii, kuyashukuru na kuyasifia macho yako kwa kujua kupembua na kuchuja nafaka! kudos to u! kiuno kinatakiwa sasa kipatiwe tiba, hakipaswi asilani kuumwa! lol! Preta mzima weye?
wallah tiba yapaswa kupatikana! pole sana, leo umeamkaje lakini? bado chachonyota? au jana ulipata japo kitulizo maumivu?
Hahahahaaaa kwa hiyo uliyouliza twaweza tandikana mbaya maana inautofauti na vingine lol
mmmhhh kuhusu Bishanga naomba umpe muda, alisutwa juzi na Zinduna na wanawake wengi tu walihudhuria, kasoro waliolishwa yamini na Bishanga ndio hawakufika Kongosho na mwenzie BADILI TABIA, hata kitoto anachokifukuzia The secretary alikuwepo, alipakwa hina, so anaona noumer kutoka nje, mapaka hina itoke kwanza! jana ilikuwa ndio anua tanga la mdundiko! ila yupo kawa mpoleeee! msalimie kadogoo sana!