Kazi kwenu!
huu lazima uwe ni ugonjwa si bure kha!Kazi kwenu!
lol! umeniua mbavu kha! ngoja Young_Master apite maeneo haya, utajieleza, na huyo mtoto ndio kadogoo wa sweetlady kakua, si umeona mama wa ubatizo nilivyo na malezi, lol! nenda kule kwenye kiduku ukajione kwanza picha yako! pipa la petrol bandarini lina afadhali! nimekujibu kule kuwa nimekoma kukuita BASHA kha!
lol! umeniua mbavu kha! ngoja Young_Master apite maeneo haya, utajieleza, na huyo mtoto ndio kadogoo wa sweetlady kakua, si umeona mama wa ubatizo nilivyo na malezi, lol! nenda kule kwenye kiduku ukajione kwanza picha yako! pipa la petrol bandarini lina afadhali! nimekujibu kule kuwa nimekoma kukuita BASHA kha!
ningependa pia kujua! kama ni wewe, hustahili kabisa kupata maumivu ya kiuno!
jamani sweetheart sweetlady umepotea sana, au ulikwenda kumuandalia kadogoo tohara! usimfanyie pulizzzzzzzzzz! mi missed u sana kwa kweli, umemuona kadogoo alivyokuwa, hata shukrani hujanipa umeanza na kunichamba, tupo mwaya!Mie yangu macho tu na masikio cacico..........afu ndio nini kunitangazia ya chumbani humu sebuleni?
Mzima wewe?
si unaona kuwa huo ni mwili wa mazoezi! nijuavyo mimi mtu kama ni athletic, ye na maumivu ni kama kuingiza nguruwe msikitini! so ndio maana nikasema hivyo.Nitambue ndiyo mie haswaa!
Na unipe mahusiano ya hiyo image yangu na kutoumwa Kiuno changu.
jamani sweetheart sweetlady umepotea sana, au ulikwenda kumuandalia kadogoo tohara! usimfanyie pulizzzzzzzzzz! mi missed u sana kwa kweli, umemuona kadogoo alivyokuwa, hata shukrani hujanipa umeanza na kunichamba, tupo mwaya!
si unaona kuwa huo ni mwili wa mazoezi! nijuavyo mimi mtu kama ni athletic, ye na maumivu ni kama kuingiza nguruwe msikitini! so ndio maana nikasema hivyo.
Haswaaa!
Realy Jg
una swali jingine Shem ?
ningependa pia kujua! kama ni wewe, hustahili kabisa kupata maumivu ya kiuno!