Mambo haya yanaikwamisha CHADEMA, Maamuzi Magumu yanatakiwa Kabla ya 2015

Ndugu Wana chama wa Chadema,kwa hoja hii ni mhimu viongozi wakuu wa Chadema na Wajumbe wa kamati Kuu wayafanyie kazi. Sote tuna tambua kua Uchaguzi wa Mwaka 2010 ulikua na changamoto nyingi hasa kwa Chadema kuonekana ni Chama ambacho kinaelea juu tu ngazi ya Taifa! Hili limetokea kwa Chadema kuto kusimamisha Wagombea wa Ubunge baadhi ya Majimbo! Wito wangu ni sasa kujielekeza zaidi katika maeneo ya wilaya na hasa yale ambayo Chadema haikusimamisha wagombea katika majimbo hayo! Lakini jambo jingine ni mhimu kujitenga na mahusiano ya moja kwa moja na Kanisa Katoliki iwe mahusiano na Baraza la Maaskofu TEC iwe kwa wao kupenda kutoa ushauri kwa Chadema au Chadema kuomba Ushirikiano na TEC,pia Kadinal Pengo aache kutoa matamko pale tu anapo ona viongozi wa Chadema wanaongelea jambo fulani! Tatu,utaratibu uliotumiwa wa kutumia formula kupata Wabunge wa Viti Maalumu uangaliwe kwani unawapa zaidi nafasi wabunge wengi watoke Kilimanjaro! Nne,Imefika wakati sasa Chadema imulipe fidia Mzee Edwin Mtei kwa kuanzisha Chadema ili Chadema itoke kwenye mfumo wa Kampuni Binafsi na sasa kuwa Chama cha Wanachama! Tano,Mheshimiwa Freeman Mbowe sasa kuwapa nafasi wanachama wengine kugombea nafasi ya Uenyekiti na kuondoa taswira ya kuwa chama cha Ukoo. Mwisho, Matumizi ya Ruzuku ndani ya Chadema ni mhimu yaelekezwe Wilayani,Dr Slaa kulipwa 12 milioni kwa mwezi ni ufisadi ndani ya Chama.

How stupid!Kabla ya kukurupukia mambo yanayokikwamisha chama cha siasa-ambacho ni mjumuko wa watu-kwanini usianze kwanza na mambo yanayoukwamisha ubongo wako kufanya kazi yake ipasavyo?Chadema haihitaji ushauri wa kiendawazimu.

Get a life!
 
Taratibu tutafika tu siku moja, na ipo siku tutajikuta tukisheka pamoja.
 
Ndugu Wana chama wa Chadema,kwa hoja hii ni mhimu viongozi wakuu wa Chadema na Wajumbe wa kamati Kuu wayafanyie kazi. Sote tuna tambua kua Uchaguzi wa Mwaka 2010 ulikua na changamoto nyingi hasa kwa Chadema kuonekana ni Chama ambacho kinaelea juu tu ngazi ya Taifa! Hili limetokea kwa Chadema kuto kusimamisha Wagombea wa Ubunge baadhi ya Majimbo! Wito wangu ni sasa kujielekeza zaidi katika maeneo ya wilaya na hasa yale ambayo Chadema haikusimamisha wagombea katika majimbo hayo! Lakini jambo jingine ni mhimu kujitenga na mahusiano ya moja kwa moja na Kanisa Katoliki iwe mahusiano na Baraza la Maaskofu TEC iwe kwa wao kupenda kutoa ushauri kwa Chadema au Chadema kuomba Ushirikiano na TEC,pia Kadinal Pengo aache kutoa matamko pale tu anapo ona viongozi wa Chadema wanaongelea jambo fulani! Tatu,utaratibu uliotumiwa wa kutumia formula kupata Wabunge wa Viti Maalumu uangaliwe kwani unawapa zaidi nafasi wabunge wengi watoke Kilimanjaro! Nne,Imefika wakati sasa Chadema imulipe fidia Mzee Edwin Mtei kwa kuanzisha Chadema ili Chadema itoke kwenye mfumo wa Kampuni Binafsi na sasa kuwa Chama cha Wanachama! Tano,Mheshimiwa Freeman Mbowe sasa kuwapa nafasi wanachama wengine kugombea nafasi ya Uenyekiti na kuondoa taswira ya kuwa chama cha Ukoo. Mwisho, Matumizi ya Ruzuku ndani ya Chadema ni mhimu yaelekezwe Wilayani,Dr Slaa kulipwa 12 milioni kwa mwezi ni ufisadi ndani ya Chama.

magamba party followers in action
 
. Kumbe Dr. Slaa analamba milioni 12 kila mwezi?!. Kumbe mshahara wa Milioni 12 ni ufisadi?. Jee mishahara ya Wakuu wa TCRA, TICKS, TANROAD, BOT, EWURA, PPRA ETC ambayo inafikia Milioni 25 tuuiteje?!

Pasco acha ushabiki wa kijinga, wewe ni zaidi ya hayo mawazo, CDM inazalisha kiasi gani kulinganisha na TICS? aaaghrr sijui ukoje wewe.
 
Ndugu Wana chama wa Chadema,kwa hoja hii ni mhimu viongozi wakuu wa Chadema na Wajumbe wa kamati Kuu wayafanyie kazi. Sote tuna tambua kua Uchaguzi wa Mwaka 2010 ulikua na changamoto nyingi hasa kwa Chadema kuonekana ni Chama ambacho kinaelea juu tu ngazi ya Taifa! Hili limetokea kwa Chadema kuto kusimamisha Wagombea wa Ubunge baadhi ya Majimbo! Wito wangu ni sasa kujielekeza zaidi katika maeneo ya wilaya na hasa yale ambayo Chadema haikusimamisha wagombea katika majimbo hayo! Lakini jambo jingine ni mhimu kujitenga na mahusiano ya moja kwa moja na Kanisa Katoliki iwe mahusiano na Baraza la Maaskofu TEC iwe kwa wao kupenda kutoa ushauri kwa Chadema au Chadema kuomba Ushirikiano na TEC,pia Kadinal Pengo aache kutoa matamko pale tu anapo ona viongozi wa Chadema wanaongelea jambo fulani! Tatu,utaratibu uliotumiwa wa kutumia formula kupata Wabunge wa Viti Maalumu uangaliwe kwani unawapa zaidi nafasi wabunge wengi watoke Kilimanjaro! Nne,Imefika wakati sasa Chadema imulipe fidia Mzee Edwin Mtei kwa kuanzisha Chadema ili Chadema itoke kwenye mfumo wa Kampuni Binafsi na sasa kuwa Chama cha Wanachama! Tano,Mheshimiwa Freeman Mbowe sasa kuwapa nafasi wanachama wengine kugombea nafasi ya Uenyekiti na kuondoa taswira ya kuwa chama cha Ukoo. Mwisho, Matumizi ya Ruzuku ndani ya Chadema ni mhimu yaelekezwe Wilayani,Dr Slaa kulipwa 12 milioni kwa mwezi ni ufisadi ndani ya Chama.
nakubaliana na wewe 100%.
nasisitiza hasa hapo penye udini na ukabila, unatufukuza wengine.
Binafsi nilishachokaga na ccm muda mrefu mno tangu ile ya nyerere ila kwa udini na ukabila wa chadema, it won't be my alternative, ila wakirekebisha hilo mbona hata leo hii nitakuwa mfuasi mtiifu!
ila sikio la kufa halisikii dawa, iache chadema ijiifie kivyake kwani haisikii ushauri kama itakavyokuwa ccm baada ya jk.
ccm naomba mmsimamishe lowassa ili mfe kifo kizuri zaidi.
 
Ndugu Wana chama wa Chadema,kwa hoja hii ni mhimu viongozi wakuu wa Chadema na Wajumbe wa kamati Kuu wayafanyie kazi. Sote tuna tambua kua Uchaguzi wa Mwaka 2010 ulikua na changamoto nyingi hasa kwa Chadema kuonekana ni Chama ambacho kinaelea juu tu ngazi ya Taifa! Hili limetokea kwa Chadema kuto kusimamisha Wagombea wa Ubunge baadhi ya Majimbo! Wito wangu ni sasa kujielekeza zaidi katika maeneo ya wilaya na hasa yale ambayo Chadema haikusimamisha wagombea katika majimbo hayo! Lakini jambo jingine ni mhimu kujitenga na mahusiano ya moja kwa moja na Kanisa Katoliki iwe mahusiano na Baraza la Maaskofu TEC iwe kwa wao kupenda kutoa ushauri kwa Chadema au Chadema kuomba Ushirikiano na TEC,pia Kadinal Pengo aache kutoa matamko pale tu anapo ona viongozi wa Chadema wanaongelea jambo fulani! Tatu,utaratibu uliotumiwa wa kutumia formula kupata Wabunge wa Viti Maalumu uangaliwe kwani unawapa zaidi nafasi wabunge wengi watoke Kilimanjaro! Nne,Imefika wakati sasa Chadema imulipe fidia Mzee Edwin Mtei kwa kuanzisha Chadema ili Chadema itoke kwenye mfumo wa Kampuni Binafsi na sasa kuwa Chama cha Wanachama! Tano,Mheshimiwa Freeman Mbowe sasa kuwapa nafasi wanachama wengine kugombea nafasi ya Uenyekiti na kuondoa taswira ya kuwa chama cha Ukoo. Mwisho, Matumizi ya Ruzuku ndani ya Chadema ni mhimu yaelekezwe Wilayani,Dr Slaa kulipwa 12 milioni kwa mwezi ni ufisadi ndani ya Chama.

Mimi siyo mwanachama wa CDM lakini nafurahia mafanikio yake katika uchaguzi uliopita na changamoto inazotoa kwa chama tawala sasa hivi katika bunge letu. Sina hoja ya kuchangia katika hayo yaliyoelezwa lakini nina nyongeza ya matatizo ambayo CDM inatakiwa kuyaangalia. Hii inahusiana na suala la kutumiwa na mafisadi waliotamkwa wazi kwamba ni gamba kwa kuanzisha hoja za kutuondoa kwenye mjadala unaohusiana na uchafu wa hao jamaa na kutumiwa kutoa orodha ya mafisadi hewa wakati wale wa kweli kweli wanashughulikiwa. Picha inayojengeka sasa ni kwamba CDM walikuwa hawataki hatua za dhati zichukuliwe dhidi ya maadui wa kweli wa nchi hii. Hili ni doa kwa CDM!
 
tokea kikao cha dodoma cha kuvaa gamba tumeshuhudia vibaraka wa ccm wengi waliotumwa na msekwa kuchafua harakati za ukombozi humu jf,..sasa huyu naye kwa nini asirudi hukohuko facebook alikotoka..

Ebu jaribu kuwa mstahimilivu kwa fikra kinzani na zako badala ya kutuhumu watu na kuwapachika mizigo isiyo yao. Do want to confirm Msekwa's allegations that this is CDM forum. I do not subsrcibe to that thinking though.
 
How stupid!Kabla ya kukurupukia mambo yanayokikwamisha chama cha siasa-ambacho ni mjumuko wa watu-kwanini usianze kwanza na mambo yanayoukwamisha ubongo wako kufanya kazi yake ipasavyo?Chadema haihitaji ushauri wa kiendawazimu.

Get a life!

Napata shida kugundua yupi ni mwendawazimu zaidi kati yenu, huyu aliyetoa maoni binafsi kwa kuangalia utashi wake, au wewe ambaye umeacha kujadili hoja na kutoa hoja ambazo zngebainisha mapungufu ya mtoa badala yake unamjadili mtoa hoja? Hivi unadhani CDM ni malaika mpaka isikosolewe? Basi mijitu ya namna hii ingefurahi kama hoja hizi zingetolewa na Mshauri Mwelekezi kutoka nje ya nchi, hasa mwenye ngozi nyeupe. Acha fanatic and blind support kwa chama kana kwamba hiyo ni dini! Jadili na kukosoa hoja ili tujue kwamba wewe si mwendawazimu.
 
Nadhani ni busara kujadiliwa kwa umakini tuhuma hizi dhidi ya chadema hasa udini na ukabila, maana huku mtaani zimeenea lakini hakuna majibu ya maana zaidi ya matusi!
 
Tusiwe walevi wa siasa za upeo mdogo,mimi mwanachama na kada makini wa chadema,lkn aliyoyasema mwanzilishi wa thread hii ni vema na busara yakatazamwa kwa upeo mpana wa kufikiri na siyo kukurupuka tu.kwa mwenye mapenzi mema na chadema ni ataangalia upande wa pili wa shilingi haswa ule ambao unaelezea mapungufu ya chama chetu.vinginevyo wote mliochangia ktk thread hii mnaonekana hamna mapenzi mema na chama chetu.
NAWAKILISHA.

si kweli anayosema huyu Bwana kwa sababu Mbowe ana miaka mitano tu tangu awe mwenyekiti wa CHADEMA, ni michache kuliko mwenyekiti wa chama kingine chote cha siasa, pia yeye ni mwenyekiti wa 3 tangu chama kianzishwe, akitangulia na Edwin Mtei na Bob Makani. ningemuona ana busara kama angezungumzia chama kingine. AMEKURUPUKA! Pia kuhusu chama kuwa kampuni huo ni uzushi na upimbi wa mawazo kwani hakuna kitu kama hicho. Huyu aliyeanzisha thread hii si mwanachama kwa hiyo hajui kinachoendelea kuhusu mgao kwa kila jimbo na si wilaya kwa sababu uchaguzi huenda kimajimbo ya uchaguzi na si wilaya, mgao umefuata idadi ya kura zilizopatikana, yaani hata kama jimbo lenye mbunge wa chadema walishinda kwa kura 20,000 linapata ruzuku ndogo kuliko jimbo ambalo mgombea wetu hakushinda lakini alipata kura 30,000 bila shaka umenielewa hapo. Ushauri wangu ni huu; SAIDIA CHAMA CHAKO KIJIVUE GAMBA ili gamba lingine liweze kuchukua nafasi.
 
Huo ushauri wa Mlengo wa Kati ni Mzuri kwa CDM na wapenda demokrasia wengine, kinachotakiwa ni kuufanyia kazi na siyo kufikiria kuwa kila mtu anayewakosoa ni mwana CCM.

Sionu ushauri wa kufanyia kazi hapo. Ni majungu tu. Hata mimi naamini huyo mwana ccm. Tuangalie upande wa pili, ruzuku ya ccm inafika wilayani? Kama inafika inafanya kazi gani? Kanuni ya viti maalumu ililenga kupambana na ufisadi. Ulizuia mamluki wa ccm kushika nafasi. Mshahara wa slaa, kama ni kweli, bila shaka hawataki Katibu Mkuu awe na njaa na kuzidiwa mapato na wabunge, na watu wengine nje ya chama. Ni njia ya kujenga nidhamu (huyu ndiye mwajiriwa namba moja). Na hiyo inamwongezea ujasiri wa kupambana na ufisadi
 
Ndugu Wana chama wa Chadema,kwa hoja hii ni mhimu viongozi wakuu wa Chadema na Wajumbe wa kamati Kuu wayafanyie kazi. Sote tuna tambua kua Uchaguzi wa Mwaka 2010 ulikua na changamoto nyingi hasa kwa Chadema kuonekana ni Chama ambacho kinaelea juu tu ngazi ya Taifa! Hili limetokea kwa Chadema kuto kusimamisha Wagombea wa Ubunge baadhi ya Majimbo! Wito wangu ni sasa kujielekeza zaidi katika maeneo ya wilaya na hasa yale ambayo Chadema haikusimamisha wagombea katika majimbo hayo! Lakini jambo jingine ni mhimu kujitenga na mahusiano ya moja kwa moja na Kanisa Katoliki iwe mahusiano na Baraza la Maaskofu TEC iwe kwa wao kupenda kutoa ushauri kwa Chadema au Chadema kuomba Ushirikiano na TEC,pia Kadinal Pengo aache kutoa matamko pale tu anapo ona viongozi wa Chadema wanaongelea jambo fulani! Tatu,utaratibu uliotumiwa wa kutumia formula kupata Wabunge wa Viti Maalumu uangaliwe kwani unawapa zaidi nafasi wabunge wengi watoke Kilimanjaro! Nne,Imefika wakati sasa Chadema imulipe fidia Mzee Edwin Mtei kwa kuanzisha Chadema ili Chadema itoke kwenye mfumo wa Kampuni Binafsi na sasa kuwa Chama cha Wanachama! Tano,Mheshimiwa Freeman Mbowe sasa kuwapa nafasi wanachama wengine kugombea nafasi ya Uenyekiti na kuondoa taswira ya kuwa chama cha Ukoo. Mwisho, Matumizi ya Ruzuku ndani ya Chadema ni mhimu yaelekezwe Wilayani,Dr Slaa kulipwa 12 milioni kwa mwezi ni ufisadi ndani ya Chama.

Me nadhani CHADEMA kwa sasa wakijikite kukuza magazeti yao , waanzishe vituo vya Tv i mean runinga, Radio station ili wa cover nchi nzima ili waweze kuimarisha sera zao na kuwafikia wananchi wengi huko vijijini ndilo jambo la msingi zaidi kuishauri CHADEMA kwa sasa

 
Ndugu Wana chama wa Chadema,kwa hoja hii ni mhimu viongozi wakuu wa Chadema na Wajumbe wa kamati Kuu wayafanyie kazi. Sote tuna tambua kua Uchaguzi wa Mwaka 2010 ulikua na changamoto nyingi hasa kwa Chadema kuonekana ni Chama ambacho kinaelea juu tu ngazi ya Taifa! Hili limetokea kwa Chadema kuto kusimamisha Wagombea wa Ubunge baadhi ya Majimbo! Wito wangu ni sasa kujielekeza zaidi katika maeneo ya wilaya na hasa yale ambayo Chadema haikusimamisha wagombea katika majimbo hayo! Lakini jambo jingine ni mhimu kujitenga na mahusiano ya moja kwa moja na Kanisa Katoliki iwe mahusiano na Baraza la Maaskofu TEC iwe kwa wao kupenda kutoa ushauri kwa Chadema au Chadema kuomba Ushirikiano na TEC,pia Kadinal Pengo aache kutoa matamko pale tu anapo ona viongozi wa Chadema wanaongelea jambo fulani! Tatu,utaratibu uliotumiwa wa kutumia formula kupata Wabunge wa Viti Maalumu uangaliwe kwani unawapa zaidi nafasi wabunge wengi watoke Kilimanjaro! Nne,Imefika wakati sasa Chadema imulipe fidia Mzee Edwin Mtei kwa kuanzisha Chadema ili Chadema itoke kwenye mfumo wa Kampuni Binafsi na sasa kuwa Chama cha Wanachama! Tano,Mheshimiwa Freeman Mbowe sasa kuwapa nafasi wanachama wengine kugombea nafasi ya Uenyekiti na kuondoa taswira ya kuwa chama cha Ukoo. Mwisho, Matumizi ya Ruzuku ndani ya Chadema ni mhimu yaelekezwe Wilayani,Dr Slaa kulipwa 12 milioni kwa mwezi ni ufisadi ndani ya Chama.
. Ushauri mzuri, hakuna haja ya kushabikia kama wanavyokurupuka wengine. cdm inaongozwa na wanadamu na siyo "roho mtakatifu". Wana jf, ni kwanini hata ushauri mzuri mnauinga! Nime-appreciate ushauri wa mtoa mada. Ushauri wake hauna nia ya kuyumbisha wala kupotosha, ni wa kujenga chama kizidi kuimarika na malengo kutimia. Asante mtoa mada. Sasa hamtaki ushauri, ninyi mnakua miungu watu? Kumbukeni safari ya ukobozi ni ndefu na inaitaji akili ya hali ya juu. Kila la heri Cdm.
 
Nadhani ni busara kujadiliwa kwa umakini tuhuma hizi dhidi ya chadema hasa udini na ukabila, maana huku mtaani zimeenea lakini hakuna majibu ya maana zaidi ya matusi!
ndg yangu ukitoa ushauri kuhusu Cdm unaonekana mnoko. Eti hutakiwi kuikosoa wala kuishauri. Cdm huenda ikafika wakati ikiwa na wanachama wajinga, labda wakubali kushauriwa.
 
Back
Top Bottom