Tabia ya kupiga mswaki ovyo bila utaratibu inakera sana hasa nyakati za asubuhi. Unakuta mtu kasimama barazani anasafisha meno na kutematema ovyo, na wengine wanaongea huku mswaki upo mdomoni. Akina dada wengine nao sijui vipi unakuta yupo na kanga moja mswaki mdomoni anaenda dukani au kwa jirani. Jamani tuwe wastaarabu, nimewahi fundishwa tendo la kupiga mswaki linahitaji ustaarabu na heshima kama lilivyo tendo la ndoa.......
tuwekee picha kaka tu proove sio unaweka maneno matupu
Ahahaaah!!! Hii ya kugongea maji ya mswaki kwa jirani nayo kali aisee.....yaani uswazi kuna vituko!!utakuta jibaba limefunga kataulo tu, tumbo kubwaaa, kitambi c kitambi, halafu na mswaki na maji kwenyekikombe mbele ya watu bila aibu linagongea maji ya mswaki kwa jirani?
Kwa mtogore ndio Masaki?Polen sana,inabidi cku moja niwakaribishe huku kwe2 masaki...
teh!teh!ila uswazi ndo mpango mzima mkuu..Kwa mtogore ndio Masaki?
uswahili raha sana nyie hamjui tu ndio maana mnalalamika, ukiona hivyo umetokea mkoani kwahiyo ukafikizia uswahili.otherwise tuulize wenyewe raha yake ikoje. im home sick
Alikua anaend kununua condom mazee....c unajua hakuna appointment uswazi, mtoto unamtongoza anakupigia hodi baada ya lisa...kwahio hakutegemea kupata haraka hivyo, na condom zilikua zimeisha akagundua akiwa kesha vua nguo ikabidi akimbie grocery kupata kinga/...lolkuna siku niliona mbagala, saa tatu usiku jamaa anakatiza na taulo kiunoni,kifua wazi sijui alikuwa anaenda dukani? mambo ya free style!
Mswaki uswaz kubadilisha mpaka uishe kabisa zile uzi....sio kwenu huko unabadilisha kila baada ya muezi au miezi kadha..Licha ya kukaa dirishani pia unatumika zaidi ya miezi sita!
Ahahahahaah!!!Alikua anaend kununua condom mazee....c unajua hakuna appointment uswazi, mtoto unamtongoza anakupigia hodi baada ya lisa...kwahio hakutegemea kupata haraka hivyo, na condom zilikua zimeisha akagundua akiwa kesha vua nguo ikabidi akimbie grocery kupata kinga/...lolMswaki uswaz kubadilisha mpaka uishe kabisa zile uzi....sio kwenu huko unabadilisha kila baada ya muezi au miezi kadha..
Pole ya nini Katavi huyu jamaa ajitahidi kuonyesha kuwa ni rijari aje aone kama tabia hajaikomesha, Uswazi kuna mambo nyie acheni tu.Pole...