mambo hadharani tcu leo

viane

Member
Mar 26, 2012
79
18
Kwa wale waliyoomba vyuo mchakato utatimia leo hivyo hadi jioni au kesho mapema selection sitakuwa tayari. Kaeni mkao wa kujua utaenda chuo gani kati ya mlivyochagua
 
acha kutisha wa2 bna, unless una source your news is just like a broken pencil. Pointless
 
madogo msiwe na haraka na selection haziwezi toka leo wala kesho labda mwezi wa nane mwishon au wa tisa mwanzoni coz vyuo vinafunguz mwezi wa kumi na kuendelea so tulien ila kutoka lazima na vyuoni mtaenda na mtasoma sana mtapata supp,na carry over za kumwaga maana chuo siyo mchezo mwendo zaidi ya form six so be prepared.
 
Yani kipindi hiki kilamtu anatoa udaku wake ni bora tukanyamaza kuliko kuleta habari zisizo na uhakika
 
Preshaaaaaaaaa,,,,,poleni,,,, ila mtapata tu vyuo,,,,, jiandaeni na kusap, kucarry, kutongozwa, na kupata marafiki wapi.... Maana first year ni new product aka container jipya,,,,, selection ni mwezi wa nane
 
Preshaaaaaaaaa,,,,,poleni,,,, ila mtapata tu vyuo,,,,, jiandaeni na kusap, kucarry, kutongozwa, na kupata marafiki wapi.... Maana first year ni new product aka container jipya,,,,, selection ni mwezi wa nane

Samahani ningependa kujua jinsia yako. . .
 
Preshaaaaaaaaa,,,,,poleni,,,, ila mtapata tu vyuo,,,,, jiandaeni na kusap, kucarry, kutongozwa, na kupata marafiki wapi.... Maana first year ni new product aka container jipya,,,,, selection ni mwezi wa nane

container jipya eee! Mtafurah!
 
Preshaaaaaaaaa,,,,,poleni,,,, ila mtapata tu vyuo,,,,, jiandaeni na kusap, kucarry, kutongozwa, na kupata marafiki wapi.... Maana first year ni new product aka container jipya,,,,, selection ni mwezi wa nane

duh! Container
 
Hello, dear members, am new lakini nadhani selection la tcu li tayari linangoja partner wake heslb kujiridhisha na i4mation za loan applicants.
 
Back
Top Bottom