Mnaosema yuko poa na ni wa kaka,je upo tayari kumuoa je ukiwa nae ukakutana na mzazi wako utakuwa huru kumtambulisha,je utamuamini mdada wa hv katika mahusiano?na maswali mengne mengi 2,
tukisema kinadada hampendani mnabisha,Mamza yaani kwa kuangalia picha tu umeshamhukumu binti wa watu kuwa haoleki,hafai kutambulishwa,haaminiki duh! unaonaje ukifungua hapa kitengo cha utabiri ? Flora yaani nipishane na toto hili nisigeuke nyuma ? thubutu wengine vipotabo ndio udhaifu wetu bana,ndio maana we sio mwanamme mpaka upishane na Stella Tingisha ndio ujue umepishana na totoz ?asee ningekuwa kidume hata salam simpatii in short nisingegundua kama nimepishana na binti