Mtoto ana mvuto san huyu!
Nic pic n nic pose!
Mtoto ana mvuto san huyu!
Nic pic n nic pose!
hahahaa...!!mia.vipi mkuu?Kitu Dabo Line... Honi ya Gari ya haifungui Geti...LOL
Mnaosema yuko poa na ni wa kaka,je upo tayari kumuoa je ukiwa nae ukakutana na mzazi wako utakuwa huru kumtambulisha,je utamuamini mdada wa hv katika mahusiano?na maswali mengne mengi 2,
wana jamii foroum naomba mnisaidie kwa hili"ni kwanini hawa madada zetu kila akipiga picha lazima ayaonyeshe makalio yake"