Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,767
Nashukuru coz umenipa mwanga, kumbe kutopenda kuulizwa ni sababu mtu nakauwa hajakupenda eeehhh?asante mwaya coz nimejifunza kitu....so now ntakuwa kimyaaaa kama vile sio mimi vile, ila ndo inabidi kuwa na kidumu na kuishin kisanii zaidi hahahaha
cul, but kuhusu kidumu cku ukipgwa usintaje kabitha...