Mambo ambayo zanzibar inadhulumiwa na tanganyika.

Mbaha

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
697
73
Wakubwa naomba kujulishwa juu ya mambo ambayo Zanzibar inadhulumiwa na Tanganyika katika Muungano, kama yapo tafadhali.
 
Hakuna dhulma yoyote juu yao, nadhani wao wanafaidika zaidi juu ya huu Muungano.
 
kujiunga na ORGANIZESHENI YA ISLAMIK CANTRIES, kuna mijihela huko ila ndo ina attachment zake, hilo ndo kubwa la wanainyonya tu Tanganyika
 
Huu muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni hatari kwetu wa bara. Unatumia rasilimali zetu, na nguvu kazi yetu.
Tuwaache Wazanzibar na nchi yao, tudumishe Tanganyika yetu
 
Wazanzibari ndio wanatudhulumu sisi maana hata umeme hawalipii ndio maana wana samehewa. Kwanza na shangaa kwa nini tusiwape zanzibar yao?
 
uwepo wa makanisa zanzibar.

Hakuna dhuluma yoyote, kwa udogo wa Zanzibar kikundi kama uamsho kinatumiwa na watu wachache sana kwa ajili ya interest zao, Zanzibar ikijitoa kwenye Muungano, Raza ataendesha Airport, Bopar ndio ataimport chakula chote, Suma atapewa Bandari, ... yaani matajiri wasiozidi kumi wakishirikiana na mabwana zao wa umangani watadhibiti uchumi wote wa Zanzibar, waandamanaji hawajui lolote wamepewa tende tu,
 
Back
Top Bottom