FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
kama mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu naomba nitoe ushauri najua kuna viongozi wakubwa hapa mnaweza kuchukua au kuacha
1.TUFUTE DHANA YA KILIMO KWANZA
hii dhana ya kilimo kwanza ni miradi ya watu tuifute haitatusaidia kabisa ni wizi mtupu hapa haiwezekani dhana za kilimo zinakaa mwenge pale halafu tunasema kilimo kwanza.
2.SERIKALI IWEKEZE KWA WATZ WAPEWE MASHAMBA NITAICHAMBUA VIZURI CHINI
kama kweli tunataka kutokomeza njaa serikali iwape ardi watz wa hapa nyumbani hata wakitoka njee haina tatizo nashauri kwa kuanzia kila mtz wale walio tayari kuwekeza kwenye kilimo wapewe hekta 50000.tukipata watu kama 50 tu wakuanzia huu mradi itakuwa safi sana sema hata wakiwa 100 itakuwa na tija zaidi.kila mtz atakaye pewa hayo mashamba apewe mkopo benki kama bilioni 15 na kuongezeka kutokana na mahitaji yake.hapo tutakuwa tumetengeza ajira kwa haraka haraka zaidi ya milioni 3.sasa hao wawekezaji watalima mazao yenye tija kwa taifa nina uhakika kama hawatategemea mvua wakatumia kilimo cha kisasa umasikina utakuwa histori kwenye taifa letu.kuna mabonde mengi tu yanapitisha maji watumie kilimo cha umwagiliaji mfano wa mabonde naomba mjazie hapa
1.bonde pangani
2.bonde malagarasi mabonde mengine mtaongezea
tatizo hapo serikali italalamika maji mengi yantumika kwenye kilimo cha umwagiliaji tatizo la umeme litazidi nashauri tuhame uko kwenye kutegemea maji kama source ya umeme kuna uranium inataka kuanzwa kuchimbwa lets invest there.
3.SERIKALI IWEKEZE KWENYE KUUZA PEMBEJEO,MBOLEA,DAWA
sas serikali iwekeze kwenye kuuza pembejeo za kilimo sababu lazima hawa wawekezaji ambao ni watz wanzetu watanunua pembejeo hapahapa.umwagiliaji wa dawa kwenye kilimo uwe unatumia ndege naomba tukopi hii kutoka kwa wenzetu kilimo chetu tumwagilie kwa kutumia ndege ambapo eneo kubwa linamaliza kwa dakika chache tunaweza kumpa tenda hii ndugu yetu pecision air.
4.KITAKACHOBAKI KIUZWE NJEE
5.ELA ZITALIPWAJE
sasa kwa kuwa tumewakopesha watz wenzetu ni rahisi sana kupata ela yetu wakati wa mauzo ya mazao ela itakuyo kuwa wanatapa inakatwa moja kwa moja kutoka kwenye benki zetu
HAYO NDO MAONO YANGU JAPO NINA MENGI YA KUSEMA NITAZIDI KUYAWEKA HAPA TUSHARE WOTEMUNGU AKITIPA PUMZI NI WAKATI WA WATZ WALIO NJE KURUDI NYUMBANI KUJA KUWEKEZA HAPA KINA MWAKIJIJI,MZEE WA NY,NA WENGINEO NCHI INATUHITAJI NOW JAPO KIUMRI NI MDOGO NADHANI NIMEELEKA PENYE MATATIZO NITATOA MAREKEBISHO.
1.TUFUTE DHANA YA KILIMO KWANZA
hii dhana ya kilimo kwanza ni miradi ya watu tuifute haitatusaidia kabisa ni wizi mtupu hapa haiwezekani dhana za kilimo zinakaa mwenge pale halafu tunasema kilimo kwanza.
2.SERIKALI IWEKEZE KWA WATZ WAPEWE MASHAMBA NITAICHAMBUA VIZURI CHINI
kama kweli tunataka kutokomeza njaa serikali iwape ardi watz wa hapa nyumbani hata wakitoka njee haina tatizo nashauri kwa kuanzia kila mtz wale walio tayari kuwekeza kwenye kilimo wapewe hekta 50000.tukipata watu kama 50 tu wakuanzia huu mradi itakuwa safi sana sema hata wakiwa 100 itakuwa na tija zaidi.kila mtz atakaye pewa hayo mashamba apewe mkopo benki kama bilioni 15 na kuongezeka kutokana na mahitaji yake.hapo tutakuwa tumetengeza ajira kwa haraka haraka zaidi ya milioni 3.sasa hao wawekezaji watalima mazao yenye tija kwa taifa nina uhakika kama hawatategemea mvua wakatumia kilimo cha kisasa umasikina utakuwa histori kwenye taifa letu.kuna mabonde mengi tu yanapitisha maji watumie kilimo cha umwagiliaji mfano wa mabonde naomba mjazie hapa
1.bonde pangani
2.bonde malagarasi mabonde mengine mtaongezea
tatizo hapo serikali italalamika maji mengi yantumika kwenye kilimo cha umwagiliaji tatizo la umeme litazidi nashauri tuhame uko kwenye kutegemea maji kama source ya umeme kuna uranium inataka kuanzwa kuchimbwa lets invest there.
3.SERIKALI IWEKEZE KWENYE KUUZA PEMBEJEO,MBOLEA,DAWA
sas serikali iwekeze kwenye kuuza pembejeo za kilimo sababu lazima hawa wawekezaji ambao ni watz wanzetu watanunua pembejeo hapahapa.umwagiliaji wa dawa kwenye kilimo uwe unatumia ndege naomba tukopi hii kutoka kwa wenzetu kilimo chetu tumwagilie kwa kutumia ndege ambapo eneo kubwa linamaliza kwa dakika chache tunaweza kumpa tenda hii ndugu yetu pecision air.
4.KITAKACHOBAKI KIUZWE NJEE
5.ELA ZITALIPWAJE
sasa kwa kuwa tumewakopesha watz wenzetu ni rahisi sana kupata ela yetu wakati wa mauzo ya mazao ela itakuyo kuwa wanatapa inakatwa moja kwa moja kutoka kwenye benki zetu
HAYO NDO MAONO YANGU JAPO NINA MENGI YA KUSEMA NITAZIDI KUYAWEKA HAPA TUSHARE WOTEMUNGU AKITIPA PUMZI NI WAKATI WA WATZ WALIO NJE KURUDI NYUMBANI KUJA KUWEKEZA HAPA KINA MWAKIJIJI,MZEE WA NY,NA WENGINEO NCHI INATUHITAJI NOW JAPO KIUMRI NI MDOGO NADHANI NIMEELEKA PENYE MATATIZO NITATOA MAREKEBISHO.