bichwamaji
Member
- Oct 28, 2011
- 12
- 5
@Mzee Madoshi. I feel you. Hata mie nashangaa sana "mtoto wa nje" kuwa namba wani, wakati mie naona ni faida tu wakiletwa na mie nikawalea. Au weye ni bagheshi ndo kuwa hawajali haya mambo.
Jaribu kuangalia mambo haya sita na uyapange kwa uzito wake wa kusameheka - yaani namba 1 likiwa ni zito kabisa kusameheka hadi 6 jepesi zaidi kusameheka. Yaani lile la kwa 1 kimsingi linaweza kabisa kuvunja uhusiano (definitely) na lile la 6 laweza kushtua au kutikisa kidogo (most probably) lakini linaweza likapita katika historia na watu wakadumu. Ukipenda unaweza ukaelezea kwanini namba zako zivyo hivyo vilivyo.
Kimada/affair nje ya uhusiano (extramarital affair/cheating)
Akaunti za siri (mipango isiyomshirikisha mwenza) - undisclosed accounts
Mtoto wa nje/mtoto wa bwana mwingine
Kupiga au kumuumiza mtu kwa kipigo (domestic violence)
Ulevi/Matumizi ya madawa ya kuleva
Kuingiliwa na wakwe (in-laws intrusion)
Unaweza kupanga yote 6 au kupanga makubwa matatu (your top three). Siji kama wanaume na wanawake tunashindwa kusamehe vitu vile vile au la.
MMM
mi naweza samehe yote inategemea tu nimejulishwa wakati gani na je nimegundua mwenyewe au amenitubu kwangu mwenyewe na sababu za yeye kufanya alichofanya ila kitu sitakaa nisamehe ni dharua kwangu
1. Ulevi/matumizi ya madawa ya kulevya,ni kero na uwezekano wa kuwa responsible unapungua. Ni tatizo sana kwangu, labda sababu situmii kilevi cha aina yeyote, hasameheki kabisa.
2. Account za siri(mipango isiomshirikisha mwenza), Kamwe halisameheki sababu atakuwa anaplan kujenga palestina wakati mie najenga Israel, tutakuwa hatuna common oblectives kimaisha.
3. Kimada/affair za nje, hili litategema msimamo wake ni nini juu yangu. Kama ananitambua na kuniheshimu as a wife na kimada ananiheshimu, I can take it na kuendelea kuishi naye. So its 50/50 kuetegemea na tabia ya mwenza wangu
4. Kuingiliwa na wakwe, halisumbui hata kidogo, piga marufuku kija kwangu ni kuwatembelea huko waliko wao na kuwasaidia wakiwa huko huko. No problem at all.
5. Mtoto wa nje, sioni tatizo liko wapi, ni kumchukua haraka akiwa na mwaka mmoja namchanganya na wakwangu na kuwalea kwa mapenzi yote. Inasaidia kwa mwenza kutulia kimawazo akiona watoto wake wote pamoja na kuua connection na mzazi mwenzie. Kuiba upendo wa mtoto wa nje kutoka kwa mama yake mzazi kuja kwangu. Kufanya watoto wote wajione kitu kimoja sabaabu hata ukimkataa mtoto wa nje wa mumeo hauwezi badili ukweli ni wake na ataendelea kuwa wake na ana haki zake. Hata wazazi tukifa watoto watakuwa kitu kimoja na wasaidiana wao kwa wao. Mara nyingi vitu hivi huleta shida sana kwenye mirathi wanaishia kuuza mali zote kwa kutoelewana au kuona wengine ni intruders.
1. Ulevi/matumizi ya madawa ya kulevya,ni kero na uwezekano wa kuwa responsible unapungua. Ni tatizo sana kwangu, labda sababu situmii kilevi cha aina yeyote, hasameheki kabisa.
2. Account za siri(mipango isiomshirikisha mwenza), Kamwe halisameheki sababu atakuwa anaplan kujenga palestina wakati mie najenga Israel, tutakuwa hatuna common oblectives kimaisha.
3. Kimada/affair za nje, hili litategema msimamo wake ni nini juu yangu. Kama ananitambua na kuniheshimu as a wife na kimada ananiheshimu, I can take it na kuendelea kuishi naye. So its 50/50 kuetegemea na tabia ya mwenza wangu
4. Kuingiliwa na wakwe, halisumbui hata kidogo, piga marufuku kija kwangu ni kuwatembelea huko waliko wao na kuwasaidia wakiwa huko huko. No problem at all.
5. Mtoto wa nje, sioni tatizo liko wapi, ni kumchukua haraka akiwa na mwaka mmoja namchanganya na wakwangu na kuwalea kwa mapenzi yote. Inasaidia kwa mwenza kutulia kimawazo akiona watoto wake wote pamoja na kuua connection na mzazi mwenzie. Kuiba upendo wa mtoto wa nje kutoka kwa mama yake mzazi kuja kwangu. Kufanya watoto wote wajione kitu kimoja sabaabu hata ukimkataa mtoto wa nje wa mumeo hauwezi badili ukweli ni wake na ataendelea kuwa wake na ana haki zake. Hata wazazi tukifa watoto watakuwa kitu kimoja na wasaidiana wao kwa wao. Mara nyingi vitu hivi huleta shida sana kwenye mirathi wanaishia kuuza mali zote kwa kutoelewana au kuona wengine ni intruders.
yote kwangu yanasameheka inategemea ......................!
Hivi mnavyosema hamuwezi samehe mtoto wa nje inamaanisha ukiletewa huyo mtoto utadai talaka au utatimua mtoto?
Inaumiza sana kuona neno 'mtoto wa nje' linakipaumbele sana katika sababu sita za MMJ
Inaumiza kwa sababu mimi ni 'mtoto wa nje'
Je 'mtoto wa nje' sio mtoto kama walivyo watoto wengine?
Je 'mtoto wa nje' hana haki ya kuwafahamu watoto nusu yake wa baba yake?
Je 'mtoto wa nje' ndiye aliyepelekea baba/mama kufanya aliyofanya
Je haiwezekani kabisa ni sababu ya 'udhaifu' wako wewe ndio ikapelekea baba/mama kuwa na 'mtoto wa nje'
Kwa hali ilivyo siku hizi, magonjwa ya kifo, mpaka kuwe na 'mtoto wa nje' lazima kuwe na sababu ya msingi ya kujadiliwa katika familia
Wazo langu, Suala la affair nje litenganishwe kabisa na 'cheating (hiki kinaweza kuwa kitendo cha haraka sana au hata oral au dhamira tu kama busu ndani mdomoni kabla hata ya tendo), lakini inapofikia kuzaliwa kwa sisi kina 'karume-kenge' mtupe heshima yetu hivyo basi 'mtoto wa nje' iongezwe kama namba 7.
Hivi mnavyosema hamuwezi samehe mtoto wa nje inamaanisha ukiletewa huyo mtoto utadai talaka au utatimua mtoto?
Jaribu kuangalia mambo haya sita na uyapange kwa uzito wake wa kusameheka - yaani namba 1 likiwa ni zito kabisa kusameheka hadi 6 jepesi zaidi kusameheka. Yaani lile la kwa 1 kimsingi linaweza kabisa kuvunja uhusiano (definitely) na lile la 6 laweza kushtua au kutikisa kidogo (most probably) lakini linaweza likapita katika historia na watu wakadumu. Ukipenda unaweza ukaelezea kwanini namba zako zivyo hivyo vilivyo.
Kimada/affair nje ya uhusiano (extramarital affair/cheating)
Akaunti za siri (mipango isiyomshirikisha mwenza) - undisclosed accounts
Mtoto wa nje/mtoto wa bwana mwingine
Kupiga au kumuumiza mtu kwa kipigo (domestic violence)
Ulevi/Matumizi ya madawa ya kuleva
Kuingiliwa na wakwe (in-laws intrusion)
Unaweza kupanga yote 6 au kupanga makubwa matatu (your top three). Siji kama wanaume na wanawake tunashindwa kusamehe vitu vile vile au la.
MMM
Kuna mtu kadokeza kuwa wengi ambao wanasema "yote yanasameheka" ni kuwa hawajawahi kuingia kwenye hizi issue!
mkuu mmm umesahaujaribu kuangalia mambo haya sita na uyapange kwa uzito wake wa kusameheka - yaani namba 1 likiwa ni zito kabisa kusameheka hadi 6 jepesi zaidi kusameheka. Yaani lile la kwa 1 kimsingi linaweza kabisa kuvunja uhusiano (definitely) na lile la 6 laweza kushtua au kutikisa kidogo (most probably) lakini linaweza likapita katika historia na watu wakadumu. Ukipenda unaweza ukaelezea kwanini namba zako zivyo hivyo vilivyo.
Kimada/affair nje ya uhusiano (extramarital affair/cheating)
akaunti za siri (mipango isiyomshirikisha mwenza) - undisclosed accounts
mtoto wa nje/mtoto wa bwana mwingine
kupiga au kumuumiza mtu kwa kipigo (domestic violence)
ulevi/matumizi ya madawa ya kuleva
kuingiliwa na wakwe (in-laws intrusion)
unaweza kupanga yote 6 au kupanga makubwa matatu (your top three). Siji kama wanaume na wanawake tunashindwa kusamehe vitu vile vile au la.
Mmm