Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,802
- 1,860
- Thread starter
- #21
Zawadi Ngoda haya ni mawazo yako yatokanayo na tafsiri ya kile udhanicho unakisikia kutoka katikati ya hotuba makini za Dr slaa.
Huu ndo Uhuru wa kusema chochote utakacho ili mradi huvunji sheria. Ulichokisahau hapo ni nukuu kadhaa kuthibitisha ni lini na katika mkutano upi Dr Slaa alisema maneno hayo.
Zile Ahadi za JK kwamba atageuza Kigoma kuwa Dubai kinyume chake ni nini? Atageuza kigoma kuwa jehanamu ya Duniani?
Mkiimba juu ya AMANI NA UTULIVU maana yake ni nini? Vita na Sngombingo?? Nimejua Janja yenu ya nyani!!!
Wewe wasema:
angalia kwenye nyekundu.
"Hapa naona umeshikwa na Mfadhaiko hujui wapi uchome ujiku. Hesabu zako zote zinakutuma kwamba wale ulokuwa ukiwaringishia nyumba yako ya fedha haramu si muda mrefu nao watasimamisha vibanda vyao na ulimbukeni wako utakoma. Swala nikuondoa Kodi, siyo kutoa fedha kutoka mfuko wa mmoja na kuziweka mfuko mwingine."
Sasa akiondoa kodi, hiyo pesa aliyoahidi ya kusomesha wanafunzi bure atapata wapi? Hebu tufafanulie hapo, maana ninachojua mimi bajeti yeyote ile ya nchi inabase kwenye kodi.