Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
Kwa vile Mh Slaa haamini ktk Demokrasia, na anaitumia Demokrasia kuingia madarakani tu na kudanganya watanzania.
Hivyo yafuatayo ni mambo muhimu matano atayofanya pindi tu kama atachaguliwa kuwa Rais wa jamhuri ya Tanzania:
1. Atafutilia mbali sheria ya Rais kugombea vipindi viwili tu (ili ajihakikishie kuwepo madarakani mpaka anakufa.
2. Atafunja Bunge na kutawala na mawaziri tu (hoja yake: Bunge linakula pesa ambazo zingewasomesha wanafunzi bure, na kwamba kichwa chake pekee kinatosha kuongoza nchi)
3. Atasitisha pesa za kujenga miundo mbinu ili atoe elimu bure na pesa nyingine ziende kutoa ruzuku kwenye saruji ili kupunguza bei ya saruji.
4. Atachapisha pesa nyingi ili kutoa ukatu na umasikini Tanzania kama alivyofanya Idd Amin.
5. Atavunja vyama vyote vya siasa, kwani yeye huwaita watanzania MAMBUMBUMBU hivyo haoni kwanini kupoteza pesa kvihudumia vyama vya siasa (ruzuku) na kugharamia uchaguzi wakati yeye ni rais wa maisha.
Hizo ndizo ahadi za huyu Mh Slaa. Samahani, kwani sioni jina jingine la kumwita zaidi ya DIKITETA. No, wala sio auktoritet bali ni DIKITETA.
Unahitaji hayo!! basi mchague Mh Slaa, Vinginevyo una uchaguzi mwingine CCM.
5.
Hivyo yafuatayo ni mambo muhimu matano atayofanya pindi tu kama atachaguliwa kuwa Rais wa jamhuri ya Tanzania:
1. Atafutilia mbali sheria ya Rais kugombea vipindi viwili tu (ili ajihakikishie kuwepo madarakani mpaka anakufa.
2. Atafunja Bunge na kutawala na mawaziri tu (hoja yake: Bunge linakula pesa ambazo zingewasomesha wanafunzi bure, na kwamba kichwa chake pekee kinatosha kuongoza nchi)
3. Atasitisha pesa za kujenga miundo mbinu ili atoe elimu bure na pesa nyingine ziende kutoa ruzuku kwenye saruji ili kupunguza bei ya saruji.
4. Atachapisha pesa nyingi ili kutoa ukatu na umasikini Tanzania kama alivyofanya Idd Amin.
5. Atavunja vyama vyote vya siasa, kwani yeye huwaita watanzania MAMBUMBUMBU hivyo haoni kwanini kupoteza pesa kvihudumia vyama vya siasa (ruzuku) na kugharamia uchaguzi wakati yeye ni rais wa maisha.
Hizo ndizo ahadi za huyu Mh Slaa. Samahani, kwani sioni jina jingine la kumwita zaidi ya DIKITETA. No, wala sio auktoritet bali ni DIKITETA.
Unahitaji hayo!! basi mchague Mh Slaa, Vinginevyo una uchaguzi mwingine CCM.
5.