Kuhusu Korea Kaskazini: Facts zitakazokuacha Mdomo wazi

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,752
5,494
1.Bangi ni Halali kabisa nchi nzima, na haichukuliwi kama ni kitu cha kulewesha /drug.

2.Ndio nchi pekee duniani hadi sasa amabayo imewahi kuiteka meli ya kivita ya wamarekani.

3.Wakati dunia nzima leo ni 2016 kwao ni mwaka 105 wakihesabu kuanzia kifo cha kiongozi wao Kim il-Sung

4.Kuanzia 2009 nchi hii sio ya kikomunist tena, wana msimamo au IDEOLOGY yaoo mpya unaitwa " JUCHE" wakimaanisha "KUJITEGEMEA"

5.Ndio nchi yenye uwanja mkubwa wa mpira kuliko yote dunia nzima, unabeba watu 150000

6.Miaka ya 50, walijenga mji fake (nice city) mpakani ili kuwavutia watu wahamie kutoka south korea.

7.Kunyoa Nywele, unaoption ya kuchagua kati ya style 28 zilizopitishwa kitaifa nje ya hapo ni kosa kisheria.

8:Kwa miaka 60 iliyopita ni wakorea kaskazini 23,000 waliokimbilia Korea Kusini wakati ni wakorea kusini wawili tu ndio wamerudi korea kaskazini.

9:Wakati dunia nzima inatumia OS za Windows,LINUX au MAC OS etc , wao wanatumia ya kwao inaitwa STAR OS

10:Kumiliki BIBILIA,Kuangalia Movie au tamthilia za Korea kusini na kusambaza picha za ngono adhabu ni kifo ukibainika.

11:Ni wanajeshi na viongozi wa serikali tu ambao wanaruhusiwa kumiliki gari.

12:Ni kinyume cha sheria kuvaa jeans korea kaskazini

13:Wanafanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano ila sanduku la kura ni moja tu na mgombea ni mmoja.

14:Kuna Shirika Linalotumia parachuti kuzipeleka BIBILIA nchini humo wakiomba angalau ziangukie kwa mmoja aelewe neno.

15:Kulingana na vitabu vya nchi hiyo Kiongozi wao Kim Jong Un alijifunza kuendesha gari akiwa na miaka 3.

16: kama umezaliwa tarehe 8 july au tarehe 17 december Huruhusiwi kusherekea Birthday maana ni siku ambazo viongozi wao Kim Jong Il na Kim Il song walikufa.

17: wanamiliki kikosi maalumu cha wanajeshi wanaakili sana/geneus kama jeshi la kimtandao,Special cyber hackers, Unit 121 au Beaureu 121. Na inasemekana wametuma baadhi yao zaidi ya askari hao 1200 nchi mbalimbali kwa mashambulizi au cyber war. Ndio waliohusika katika Shambulizi la Kampuni ya SONY Klingana na vyombo vya magharibi.
kim-jong-un-80.jpg
 
Last edited:
1.Bangi ni Halali kabisa nchi nzima, na haichukuliwi kama ni kitu cha kulewesha /drug.

2.Ndio nchi pekee duniani hadi sasa amabayo imewahi kuiteka meli ya kivita ya wamarekani.

3.Wakati dunia nzima leo ni 2016 kwao ni mwaka 105 wakihesabu kuanzia kifo cha kiongozi wao Kim il-Sung

4.Kuanzia 2009 nchi hii sio ya kikomunist tena, wana msimamo au IDEOLOGY yaoo mpya unaitwa " JUCHE"

5.Ndio nchi yenye uwanja mkubwa wa mpira kuliko yote dunia nzima, unabeba watu 150000

6.Miaka ya 50, walijenga mji fake (nice city) mpakani ili kuwavutia watu wahamie kutoka south korea.

7.Kunyoa Nywele, unaoption ya kuchagua kati ya style 28 zilizopitishwa kitaifa nje ya hapo ni kosa kisheria.

8:Kwa miaka 60 iliyopita ni wakorea kaskazini 23,000 waliokimbilia Korea Kusini wakati ni wakorea kusini wawili tu ndio wamerudi korea kaskazini.

9:Wakati dunia nzima inatumia OS za Windows,LINUX au MAC OS etc , wao wanatumia ya kwao inaitwa STAR OS

10:Kumiliki BIBILIA,Kuangalia Movie au tamthilia za Korea kusini na kusambaza picha za ngono adhabu ni kifo ukibainika.

11:Ni wanajeshi na viongozi wa serikali tu ambao wanaruhusiwa kumiliki gari.

12:Ni kinyume cha sheria kuvaa jeans korea kaskazini

13:Wanafanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano ila sanduku la kura ni moja tu na mgombea ni mmoja.

14:Kuna Shirika Linalotumia parachuti kuzipeleka BIBILIA nchini humo wakiomba angalau ziangukie kwa mmoja aelewe neno.

15:Kulingana na vitabu vya nchi hiyo Kiongozi wao Kim Jong Un alijifunza kuendesha gari akiwa na miaka 3.

16: kama umezaliwa tarehe 8 july au tarehe 17 december Huruhusiwi kusherekea Birthday maana ni siku ambazo viongozi wao Kim Jong Il na Kim Il song walikufa.

17: wanamiliki kikosi maalumu cha wanajeshi wanaakili sana/geneus kama jeshi la kimtandao,Special cyber hackers, Unit 121 au Beaureu 121. Na inasemekana wametuma baadhi yao zaidi ya askari hao 1200 nchi mbalimbali kwa mashambulizi au cyber war. Ndio waliohusika katika Shambulizi la Kampuni ya SONY Klingana na vyombo vya magharibi.
kim-jong-un-80.jpg
Kweli hili taifa ni balss
 
Duniani kuna maajabu na sheria za ajabu ajabu, hiyo namba 7 kidogo imefanana kidogo na sheria ya Denmark ambapo kuna majina 24,000 ya kuchagua ambao utamtolea mwanao kama unataka jina tofauti ni lazima uombe serikalini na kupewa kibali maalum
 
1.Bangi ni Halali kabisa nchi nzima, na haichukuliwi kama ni kitu cha kulewesha /drug.

2.Ndio nchi pekee duniani hadi sasa amabayo imewahi kuiteka meli ya kivita ya wamarekani.

3.Wakati dunia nzima leo ni 2016 kwao ni mwaka 105 wakihesabu kuanzia kifo cha kiongozi wao Kim il-Sung

4.Kuanzia 2009 nchi hii sio ya kikomunist tena, wana msimamo au IDEOLOGY yaoo mpya unaitwa " JUCHE"

5.Ndio nchi yenye uwanja mkubwa wa mpira kuliko yote dunia nzima, unabeba watu 150000

6.Miaka ya 50, walijenga mji fake (nice city) mpakani ili kuwavutia watu wahamie kutoka south korea.

7.Kunyoa Nywele, unaoption ya kuchagua kati ya style 28 zilizopitishwa kitaifa nje ya hapo ni kosa kisheria.

8:Kwa miaka 60 iliyopita ni wakorea kaskazini 23,000 waliokimbilia Korea Kusini wakati ni wakorea kusini wawili tu ndio wamerudi korea kaskazini.

9:Wakati dunia nzima inatumia OS za Windows,LINUX au MAC OS etc , wao wanatumia ya kwao inaitwa STAR OS

10:Kumiliki BIBILIA,Kuangalia Movie au tamthilia za Korea kusini na kusambaza picha za ngono adhabu ni kifo ukibainika.

11:Ni wanajeshi na viongozi wa serikali tu ambao wanaruhusiwa kumiliki gari.

12:Ni kinyume cha sheria kuvaa jeans korea kaskazini

13:Wanafanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano ila sanduku la kura ni moja tu na mgombea ni mmoja.

14:Kuna Shirika Linalotumia parachuti kuzipeleka BIBILIA nchini humo wakiomba angalau ziangukie kwa mmoja aelewe neno.

15:Kulingana na vitabu vya nchi hiyo Kiongozi wao Kim Jong Un alijifunza kuendesha gari akiwa na miaka 3.

16: kama umezaliwa tarehe 8 july au tarehe 17 december Huruhusiwi kusherekea Birthday maana ni siku ambazo viongozi wao Kim Jong Il na Kim Il song walikufa.

17: wanamiliki kikosi maalumu cha wanajeshi wanaakili sana/geneus kama jeshi la kimtandao,Special cyber hackers, Unit 121 au Beaureu 121. Na inasemekana wametuma baadhi yao zaidi ya askari hao 1200 nchi mbalimbali kwa mashambulizi au cyber war. Ndio waliohusika katika Shambulizi la Kampuni ya SONY Klingana na vyombo vya magharibi.
kim-jong-un-80.jpg
pia hamna raia anayeruhusiwa kuitwa jina la rais wao wa sasahivi..,
 
1.Bangi ni Halali kabisa nchi nzima, na haichukuliwi kama ni kitu cha kulewesha /drug.

2.Ndio nchi pekee duniani hadi sasa amabayo imewahi kuiteka meli ya kivita ya wamarekani.

3.Wakati dunia nzima leo ni 2016 kwao ni mwaka 105 wakihesabu kuanzia kifo cha kiongozi wao Kim il-Sung

4.Kuanzia 2009 nchi hii sio ya kikomunist tena, wana msimamo au IDEOLOGY yaoo mpya unaitwa " JUCHE"

5.Ndio nchi yenye uwanja mkubwa wa mpira kuliko yote dunia nzima, unabeba watu 150000

6.Miaka ya 50, walijenga mji fake (nice city) mpakani ili kuwavutia watu wahamie kutoka south korea.

7.Kunyoa Nywele, unaoption ya kuchagua kati ya style 28 zilizopitishwa kitaifa nje ya hapo ni kosa kisheria.

8:Kwa miaka 60 iliyopita ni wakorea kaskazini 23,000 waliokimbilia Korea Kusini wakati ni wakorea kusini wawili tu ndio wamerudi korea kaskazini.

9:Wakati dunia nzima inatumia OS za Windows,LINUX au MAC OS etc , wao wanatumia ya kwao inaitwa STAR OS

10:Kumiliki BIBILIA,Kuangalia Movie au tamthilia za Korea kusini na kusambaza picha za ngono adhabu ni kifo ukibainika.

11:Ni wanajeshi na viongozi wa serikali tu ambao wanaruhusiwa kumiliki gari.

12:Ni kinyume cha sheria kuvaa jeans korea kaskazini

13:Wanafanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano ila sanduku la kura ni moja tu na mgombea ni mmoja.

14:Kuna Shirika Linalotumia parachuti kuzipeleka BIBILIA nchini humo wakiomba angalau ziangukie kwa mmoja aelewe neno.

15:Kulingana na vitabu vya nchi hiyo Kiongozi wao Kim Jong Un alijifunza kuendesha gari akiwa na miaka 3.

16: kama umezaliwa tarehe 8 july au tarehe 17 december Huruhusiwi kusherekea Birthday maana ni siku ambazo viongozi wao Kim Jong Il na Kim Il song walikufa.

17: wanamiliki kikosi maalumu cha wanajeshi wanaakili sana/geneus kama jeshi la kimtandao,Special cyber hackers, Unit 121 au Beaureu 121. Na inasemekana wametuma baadhi yao zaidi ya askari hao 1200 nchi mbalimbali kwa mashambulizi au cyber war. Ndio waliohusika katika Shambulizi la Kampuni ya SONY Klingana na vyombo vya magharibi.
kim-jong-un-80.jpg


Naongezea moja uliyoisahau, hawajui Kiingereza kama sisi Waafrika (weusi), sisi tunajua Kiingereza kuwashinda Wakorea lkn wameendelea kutuzidi ktk kila nyanja ingawaje wamewekewa vikwazo vya kiuchumi na karibu Dunia nzima, hawana magonjwa kama Ebola, UKIMWI, Malaria, hakuna Mkorea mwenye jina la kizungu kama sisi Waafrika weusi huku kwetu tunajiita Julius, George, Ahmad, Husein, John lkn bado tunadharauriwa na Wazungu na Waarabu klk binadamu yoyote yule Duniani!

Mkorea Kaskazini kama ulivyosema haongei Kiingereza kabisa lkn bado ametengeneza software yake yeye mwenyewe yaani hatumii windows, hivi sasa wametengeneza smart phone yao isiyotumia android yaani wamebuni software ya kwao, sisi kutwa nzima tunashindana kuongea Kiingereza watu wanalipa ada milioni 10 shule ya msingi ili mtoto tu ajue kuongea Kiingereza!
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom