Michelle JF-Expert Member Nov 16, 2010 7,621 3,514 Jan 18, 2012 #21 Karibu sana....!! wapi Baba Enock?
Mama_Enock Member Jan 16, 2012 60 44 Jan 18, 2012 Thread starter #22 Nimeshakaribia na nafurahia kujumuika nanyi. Anyways, Poleni sana na msiba wa dada yenu Regia!
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,653 13,474 Jan 18, 2012 #23 baba Enock anajua kuwa umeamia kuja huku!!!
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,196 Jan 18, 2012 #24 Leonard Robert said: karibu mama Enock,hivi unamjua baba enock wa humu? Kama unamjua basi karibu senene na lubisi hapa kwetu. Click to expand... mama_Enock naomba jibu.
Leonard Robert said: karibu mama Enock,hivi unamjua baba enock wa humu? Kama unamjua basi karibu senene na lubisi hapa kwetu. Click to expand... mama_Enock naomba jibu.
V Vasco Dagama Member Jan 18, 2012 52 10 Jan 19, 2012 #26 CAMARADERIE said: Mahusiano, mapenzi, urafiki Click to expand... Asante sana Camaraderie