Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 29, 2012 #21 wakati mwenzako hapo anamnyonyesha mungu,hizi imani hizi matatizo matupu,cha kushukuru ni mungu mwenyewe ajuae ni yupi mwema na yupi anazuga.
wakati mwenzako hapo anamnyonyesha mungu,hizi imani hizi matatizo matupu,cha kushukuru ni mungu mwenyewe ajuae ni yupi mwema na yupi anazuga.
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 868 Sep 29, 2012 #22 kwa huruma huu mbona hauna neno.. Atakuwa ameokoa maisha ya huyo ngamia, na ngamia akikuwa atarudisha fadhila kwa kumtumikia mama.
kwa huruma huu mbona hauna neno.. Atakuwa ameokoa maisha ya huyo ngamia, na ngamia akikuwa atarudisha fadhila kwa kumtumikia mama.