pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,593
- 2,978
Nafahamu wako wadau kadhaa wanaomfahamu Prof Mbwette, Mkuu wa chuo kikuu huria.
Nasikitika kuwaarifu kuwa mama yake mzazi amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Agha Khan.
Msiba upo kwa Prof Mbwette Kimara.
Mungu aiweke pema peponi roho yake mama
Nasikitika kuwaarifu kuwa mama yake mzazi amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Agha Khan.
Msiba upo kwa Prof Mbwette Kimara.
Mungu aiweke pema peponi roho yake mama