kwani sie mijibwa tufugike?wanawake wa kipare hawafugiki
Ufafanuzi kidogo.
Hayo sio maneno mnayosema kuhusu mwanamke yeyote ?!Kua na heshima kidogo...bibi yangu alikua Mpare na alikua mwanamke wa shoka kama sio panga.Na waliobaki nawajua wengine wametuli na wengine hawajatulia kama ilivyo kwenye makabila mengine yote.wanawake wa kipare hawafugiki
Na wengi ni wataalam wa dawa za kienyeji aka s'wanga miziziologi.
Kwa hiyo ninyi ni makunguru sio?kwani sie mijibwa tufugike?
ngoja nimwanzishie then utafuata..ntakuwa wa pili kukutakana kwa hii sredi yako nasubiria wenzangu waanze
dogo heshima mbele kama tai . ok?wanawake wa kipare hawafugiki
dogo heshima mbele kama tai ok?Kwa hiyo ninyi ni makunguru sio?
huu ni umbea.. na huwezi kulithibitisa hilo.. acha uongo au hujawahi kufika sumbawanga? au ufipani?Na wengi ni wataalam wa dawa za kienyeji aka s'wanga miziziologi.
dogo acha pumba. hayo uliyoongea yapo wa wanawake wote bila ya kuwatenga kwa ukabilawanahuruma ila ni wakorofi sana pale unapombugudhi hachelewi kuhamia kwa mwingine. wale waliosema knye sita kwa sita ni kweli wako vizuri. Kwa wanawake wa Knjaro hawa wanaongoza knye maujanja ya 6 by 6, mwanaume hufurukuti.
na wazaramo je?kiujumla wapare sio wanawake sio wanaume wote the same, wana makelele kinoma. Huwa wanajisikia raha akiongea kwa sauti, hata kama ni mambo yao ya ndani basi majirani watafaidi.
Lkn makabila mengne ni too much hasa hao wapare na wanyiramba.dogo acha pumba. hayo uliyoongea yapo wa wanawake wote bila ya kuwatenga kwa ukabila
banadamu! Wanaofugwa ni wanyama wasio na utashi aghrrrrrr!kwa hiyo ninyi ni makunguru sio?
labda wa mtaani kwenu! Tena wanajisingizia tu wala c waparekiujumla wapare sio wanawake sio wanaume wote the same, wana makelele kinoma. Huwa wanajisikia raha akiongea kwa sauti, hata kama ni mambo yao ya ndani basi majirani watafaidi.
acha uongo,tena inaelekea kabila lenu linakiherehere na kimbelembele na ushakunaku juu!!!!!!!!lkn makabila mengne ni too much hasa hao wapare na wanyiramba.
kwani kuomba barabara huko makwao ndo kushindikana asa kwani kaenda kuuza nyago bungeni? Hayo mambo mawili hayahusiani! Ulitaka aende kulala tuuu bungeni?hebu sema jambo lingine bwana kaz ni kaz na mambo ya mitaan ni ya mitaanimkuu kama ningefanikiwa kupata video clip ya yule mama akingea, ningesomeka vizuri zaidi