Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Wakuu nimepita sehemu nikafanikiwa kuona Kipengele Cha Bunge akiongea Anne Kilango Malechela akidai Bara bara kwa wakulima wake wa Tangawizi.
Mama kaongea kwa Jazba mpaka mwenyekiti wa Bunge akamwambia imetosha ''MAMA WA KIPARE''
Hivi wake wa kipare wanakua wakali hivi? Ninasema hivi Coz Nilikua najiuliza kwanini mwenyekiti wa Bunge alisema mama wa Kipare, Alikua anaonyesha wanawake wa kipare ni soo.
Mama kaongea kwa Jazba mpaka mwenyekiti wa Bunge akamwambia imetosha ''MAMA WA KIPARE''
Hivi wake wa kipare wanakua wakali hivi? Ninasema hivi Coz Nilikua najiuliza kwanini mwenyekiti wa Bunge alisema mama wa Kipare, Alikua anaonyesha wanawake wa kipare ni soo.