Mama wa Kambo, tujadiliane hili!

Dahhh imeniumiza sana hii story hivi huyu mama hana mtoto? Eeehh jamani hata kama hujazaa huwezi kutenda haya aaa. Pole sana mtoto hans
 
kama hajazaa Mungu na amnyime uzazi kabisa.
Unapendaje boga na unachukia ua lake? Unamnyimaje baba haki ya kuishi na kumlea mwanae kwa sababu ya wivu wako wa kijinga, stupid fool you woman!

Na wewe unayedai upande wa pili wa shilingi, hta kama moto aliiba au kukosa kwa namna yoyote, hiyo ndo adhabu stahili?
Poor little boy...used as a stress relief!
 
Hawa wazazi hawana sifa ya kutunza mtoto. Umefika wkt sasa sheria itungwe ya kuwanyanganya wazazi wasiowajibika.
 
Wana JF kwa ujumla nashindwa kuelewa kwanini mama wa kambo wanakuwa na roho mbaya kiasi kwamba wako tayari kutoa roho za watoto wao wa kambo! Maana katika pitapita zangu kwenye blogs mbalimbali nikakutana na hii habari ambayo ki ukweli imenisikitisha sana: Dina Marios: MASKINI MTOTO HUYU...........

Kwanini Mnawaonea watoto jamani? Au tatizo ni nini?

Lakini ukiangalia kwa upande wa Wababa wao wanauwezo wa kulea na kuishi na watoto wa kambo bila shida (Kama zipo ni za kawaida na Chache)

Angalizo:
Sio wa mama wote (Wa Kambo) wana tabia hii ila wengi wao wako hivyo. :yuck:

Kwa wote wenye Tabia kama hizo naomba Wabadilike!
 
Mtoto hata afanye kosa kubwa kiasi gani kuna namna ya kumpa adhau, sio kumpiga na skuna na kumngata. Huyu mama anastahili adhabu kali sana. Sijui kama amezaa huyu mama, kama amewahi tapa uchungu kwa vyovyote pia angemhurumia mtoto wa mwenzie.

Lakini hata kama mama hajazaa, nadhani ungekua wakati mzuri wa kumuweka yule mtoto karibu nae na kumpenda zaidi ili ajisikie kua yuko na mwanae na mtoto hali kadhalika ajisikie kua yuko na mama, na wala asijisikie kua ni mama wa kambo.
 
Ukiona hivyo hilo jimama lina historia nzito ya kuporomosha mimba kienyeji, kwa hiyo limeshakuwa ligumba na lina roho sugu ya mauaji kuliko askari wa kivita!

Mi kwa mtazamo wangu hapo, kosa kubwa lipo kwa baba, maana sikuona sbb ya yeye kumleta mwanae hapo nyumbani hali a kuwa anafahamu fika kuwa anafuga jinamizi, angeweza kumsomesha na kumtunza mwanae hata akiwa huko huko Moro.

Suluhisho la kesi km hii, huyo jinamizi wa kike awajibishwe na sheria, na ikiwezekana km huo baba anampenda mwanae kweli basi amtwange talaka 8 tena barabarani mbele ya mjumbe na mashahidi wote, na asipewe hata nafasi ya kurudia chochote nyumbani, huyo ni shetani la mguu mmoja!

Machozi yananitoka bila kujua, inauma sana!

kisusi,naweza kumtetea baba,unajua wamama kama hawa wanakuwa ni wanafiki sana mbele za baba,unaweza kuta baba hajui chochote kile mpaka yalipotpkea haya!
Mim nadhani kupitia mambo kama haya inabidi kina baba tunapolea watoto wetu na mama zao wa kambo,tuwe tunapeleleza kisirisiri kujua kama mama hamtesi mtoto tunapokua hatupo,pia kuongea na hao watoto,baba unatakiwa ukiona mwanao anakonda,hana raha au ana makovu makovu yasiyoeleweka uongee na mwanao labda itasaidia.
 
unajua sheria dhidi ya mambo haya zipo,
watoto wengi wamekuwa wakiteswa sio tu na mama wa kambo bali hata na mashangazi,mama wadogo n.k tatizo huwa hawafikishwi ktk vyombo vya sheria.
Mim nashauri kwamba ili tuwasaidie watoto wanaoteswa ni jukumu letu sisi kama wanajamii,kama tunaishi jirani na nyumba anayoishi mtoto anayeteswa kama huyu Hans,basi tusiishie tu kusikitika bali turipoti katika vyombo vya sheria.
Mim kama mimi nimeshawahi kufanya hivi,ktk nyumba aliyokua akiishi kaka yangu kuna mtoto nilikua nashuhudia jinsi anavyoteseka kila nikienda kusalimia.Roho ilikua inaniuma sana ,bro wangu akasema wameshamwambia baba wa mtoto lkn anasema eti ni majungu na mama yule wa kambo ndo kwanza hakuwa na dalili za kuacha kumtesa mtoto wa mumewe,mi siku moja nikashindwa kuvumilia nikaamua issue niipeleke ktk vyombo vya sheria.
Kwa hiyo inabidi tusiwalegezee wanaotesa watoto,hata kama watatuchukia kwa kufanya hivyo lkn unakuwa umekuwa mtetezi wa kiumbe kisichoweza kujitetea,sbb tukisema sheria kali zichukuliwe dhidi yao ni sawa,lkn inabidi tuwafikishe huko ndio sheria kali dhidi yao zitaweza kuchukuliwa,tusipowafikisha wataadhibiwaje?
 
ubaya au uzuri kwenye hili simulizi hakuna tulipoonyeshwa kuwa baba ali neglect wajibu wake kama baba! Hililinanifanya nisimlaumu baba wa mtoto.
Pengine mtoto alikuwa akiteswa siku nyingi na alikaa kimya, pengine mama wa kambo alikuwa akijivisha ngozi ya mwana kondoo baba wa mtoto asijui chuki yake kwa mtoto.
Yote juu ya yote huyu mwanamke ni mnyama tu!
 
nadhani na bongo kuwe na sheria ya kuwanyang'anya watoto..wale unifit mothers..
wanaume waishi na wake zao kwa akili,mpime kwanza mkeo kama ataweza kulea mtoto wa mwanamke mwenzie...sio unajifanyia tuu maamuzi kisa ni baba wa familia,matokeo yake mtoto ndio anasuffer..
whatever he has done,he didnt deserve such kind of treatment...
am ashamed kuna wanawake wa hivyo kny jamii yetu..kama huwezi kulea mtoto wa mwenzio say it from the very beginning,sio ukubali afu umfanye punch bag mtoto wa watu...:embarrassed::embarrassed:
 
mimi ni mmoja wa watu waliopata mateso sana na mama wa kambo, kwa sasa ni mtu mzima, kila huwa nikikumbuka
huwa siwezi kufanya kazi siku hiyo, pamoja na utu uzima machozi hayaishi.
Mateso sio kwenye kipigo, bado masimango, ubaguzi, kulazwa njaa etc. kwa ujumla mama wa kambo ni wakatili sana.

Ukifuatilia kwa undani hizi story za mama wakambo nizakikatili sana.
Sidhani kama kuna mama wa kambo mwenye upendo, mara nyingi ni unafiki,
Zaidi ya hayo mateso niliyoyapitia vidonda vyake havijapona, ninamatatizo makubwa ya kisaikolojia,
Esp hasira, na kutokupenda kujichanganya, yaani we acha bwana, na ndio shida ambayo huyo mtoto ataipata.

Nikimuona huyu mtoto hakuna tofauti na mimi nilivyokuwa, hadi leo ninamakovu kwenye mwili mzima nilipokuwa nafinywa na visu nya moto, na kupakwa spiriti, kungatwa, nilimsimulia mke wangu aliia siku hiyo, then today she come as say please help me, Realy F****k fu*****k x 1000 her. i am sory to say that
yaani da imenianza kunikumbusha, ooh ohhhhhhhhhhh,

Inaumiza jamani usimuliwe tuu, lakini kwa waliopitia hili wanajua ninachomaanisha
Ukweli ni kwamba Tunapoachana au kuzaa na mtu tuwe waangalifu sana, huwezi usikubali mwanao alelewe na mama wa kambo
najua kunawatakao watetea but i will never ever accept mama wa kambo kumlea mwanangu.

Nitakuja kuandika kitabu kuishi na mama wa kambo
Siwezi kutype, tena. Pole Hans.
Kama ningekuwa karibu ningekusaidia. kama kuna msaada unahitajika jamani tupe details
 
mimi ni mmoja wa watu waliopata mateso sana na mama wa kambo, kwa sasa ni mtu mzima, kila huwa nikikumbuka
huwa siwezi kufanya kazi siku hiyo, pamoja na utu uzima machozi hayaishi.
Mateso sio kwenye kipigo, bado masimango, ubaguzi, kulazwa njaa etc. kwa ujumla mama wa kambo ni wakatili sana.

Ukifuatilia kwa undani hizi story za mama wakambo nizakikatili sana.
Sidhani kama kuna mama wa kambo mwenye upendo, mara nyingi ni unafiki,
Zaidi ya hayo mateso niliyoyapitia vidonda vyake havijapona rahisi kupona, na ndio shida ambayo huyo mtoto ataipata.

Nikimuona huyu mtoto hakuna tofauti na mimi nilivyokuwa, ninamakovu kwenye mwili mzima nilipokuwa nafinywa na visu nya moto, na kupakwa spiriti, kungatwa, then today she come as say please help me, Realy F****k her.
yaani da imenianza kunikumbusha, ooh ohhhhhhhhhhh,

Inaumiza jamani usimuliwe tuu, lakini kwa waliopitia hili wanajua ninachomaanisha
Ukweli ni kwamba Tunapoachana au kuzaa na mtu tuwe waangalifu sana, huwezi usikubali mwanao alelewe na mama wa kambo
najua kunawatakao watetea but i will never ever accept mama wa kambo kumlea mwanangu.
Siwezi kutype, tena. Pole Hans.
Kama ningekuwa karibu ningekusaidia. kama kuna msaada unahitajika jamani tupe details

pole sana mtu wa watu....ndo maana mwanzo nilisema hii kitu yote itamgharimu huyu psychological problems...
 
mimi ni mmoja wa watu waliopata mateso sana na mama wa kambo, kwa sasa ni mtu mzima, kila huwa nikikumbuka
huwa siwezi kufanya kazi siku hiyo, pamoja na utu uzima machozi hayaishi.
Mateso sio kwenye kipigo, bado masimango, ubaguzi, kulazwa njaa etc. kwa ujumla mama wa kambo ni wakatili sana.

Ukifuatilia kwa undani hizi story za mama wakambo nizakikatili sana.
Sidhani kama kuna mama wa kambo mwenye upendo, mara nyingi ni unafiki,
Zaidi ya hayo mateso niliyoyapitia vidonda vyake havijapona, ninamatatizo makuwa ya kisaikolojia,
Esp hasira, na kutokupenda kujichanganya, yaani we acha bwana, na ndio shida ambayo huyo mtoto ataipata.

Nikimuona huyu mtoto hakuna tofauti na mimi nilivyokuwa, hadi leo ninamakovu kwenye mwili mzima nilipokuwa nafinywa na visu nya moto, na kupakwa spiriti, kungatwa, nilimsimulia mke wangu aliia siku hiyo, then today she come as say please help me, Realy F****k fu*****k x 1000 her. i am sory to say that
yaani da imenianza kunikumbusha, ooh ohhhhhhhhhhh,

Inaumiza jamani usimuliwe tuu, lakini kwa waliopitia hili wanajua ninachomaanisha
Ukweli ni kwamba Tunapoachana au kuzaa na mtu tuwe waangalifu sana, huwezi usikubali mwanao alelewe na mama wa kambo
najua kunawatakao watetea but i will never ever accept mama wa kambo kumlea mwanangu.

Nitakuja kuandika kitabu kuishi na mama wa kambo
Siwezi kutype, tena. Pole Hans.
Kama ningekuwa karibu ningekusaidia. kama kuna msaada unahitajika jamani tupe details

pole sana....
 
nadhani na bongo kuwe na sheria ya kuwanyang'anya watoto..wale unifit mothers..
wanaume waishi na wake zao kwa akili,mpime kwanza mkeo kama ataweza kulea mtoto wa mwanamke mwenzie...sio unajifanyia tuu maamuzi kisa ni baba wa familia,matokeo yake mtoto ndio anasuffer..
whatever he has done,he didnt deserve such kind of treatment...
am ashamed kuna wanawake wa hivyo kny jamii yetu..kama huwezi kulea mtoto wa mwenzio say it from the very beginning,sio ukubali afu umfanye punch bag mtoto wa watu...:embarrassed::embarrassed:

Sawia kabisa. Kwanza kabisa huyo mwanamke anatakiwa kufunguliwa mashitaka ya child abuse and maltreatment. Pili huyo baba wa mtoto naye inatakiwa apelekwe kizimbani for failure to recognize and identify child abuse. He should be charged with neglect because he failed to act as a parent. Nachelea kuamini hakukuwa na dalili au matukio ya kuonyesha dalili mbaya. Kisago kama hicho hakitokei tu out of nowhere unless mniambie huyo mwanamke alishikwa na kichaa cha ghafla. Hapo chini ya picha ya sikio kuna maelezo kuwa Hans anasema ni kawaida sana yeye kupigwa na huyo mama wa kambo na mara nyingi humng'ata. Sasa huyo baba hakujua yote hayo kabla ya tukio hili? Yaani mwanao anadundwa na mkeo na wewe hujui? Baba gani huyo? Mtoto hawezi kumficha manyanyaso mzazi ambaye yuko karibu naye. Ana kesi ya kujibu huyo baba na kama hana hatia basi itaamuliwa mahakamani. Ni wajibu wa mzazi kuwa makini na kufuatilia kwa ukaribu hali nzima ya mtoto. Ukiona mtoto hana raha, ana alama mwilini, n.k. ni wajibu wako kama mzazi kuuliza na kuchunguza kulikoni. Si kusubiri hadi mtoto anapata majeraha makubwa ndo ugutuke. Huo ni uzembe. Halafu wanyang'anywe custody ya mtoto.
 
pole sana mtu wa watu....ndo maana mwanzo nilisema hii kitu yote itamgharimu huyu psychological problems...
Thanks hashycool , Ni rahisi sana kuachana au mtu, au kusema unataka kuzaa na mtu kirahirahisi tuu, lakini mateso wanayopata watoto ni makubwa. Nawaomba wakina mama na kinadada msikubali kumwachia mwanaume watoto, kama ni shida vumilia mlee mwanao, mama wakambo ni nyoka, akusimulie mtuu tu.
 
OMG!! msiniambie huyu mama bado anadunda mtaani plz!! its my hope yuko lupango tunavyojadili hapa:redfaces:
 
Back
Top Bottom