King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
kuna watu wengine wanawatendea hivi watoto wao wa kuzaa wenyewe! kuna mama wa kambo wazuri sana, mtoto analelewa hadi anamaliza sekondari hajui kama ana mama yake mzazi na wala wadogo zake wanakuwa hawajui! mambo mengi mtu anatenda kwa sababu ya personality yake na sio kwa sababu ya position yake.