ameachika ana watoto wakubwa wawili
mimi ni 39
mwanaume wa miaka karibu 40
anakuja kuuliza haya mambo ambayo hata wa miaka 25
anajua nini cha kufanya....
The boss akitokea msichana wa miaka 25 na mama wa miaka 50i envy you....some women are like wine.the older,the better......vintage lol
The boss akitokea msichana wa miaka 25 na mama wa miaka 50
utachagua huyo mama au msichana?hapo hakuna usaili unachagua tu
nitachagua mama.....
loooo kazi kweli kweli, wamama wanakuwa na nini ambacho msichana hawez kukupanitachagua mama.....
wakati mwingine tukiwaangalia wazazi/walezi wetu tunawaona kama haya mambo hawafanyi tena yaani umri umepita ila ukisoma humu ndio unaanza kumwangalia na kujiuliza, nikikuta hivo sna jinsi nitaheshimu tu kwani ni uamuzi wake na yeye ni mtu mzima, ila nitaomba asiwe TBBlackbery vipi kama ukipata kijamaa halafu ukakitambulisha kwa mama yako then wakapendana!!thehehe utafanya nini??
umri huu na wewe mbona mzee,hujaoa?si muoane tuameachika ana watoto wakubwa wawili
mimi ni 39
blackberry na daughter....nawapa siri ya wamama....
1.hawapendi sex ya mara kwa mara..so few times wanatulia..
2.wanapenda kutulia,since ujana umewapita..
3.wanajua mambo mengi mno,yaani hata ukiwa kwenye mood ya ajabu hivi,wanaijua
wanakutuliza..
4.hawajali sana pesa,wanajali zaidi quality time,so hawana movement nyiingi za kutafuta life
5.......
6.hawatongozwi saana.so wana appreciate zaidi..
7....
kwa nn mpaka miaka 50 jamani, whyblackberry na daughter....nawapa siri ya wamama....
1.hawapendi sex ya mara kwa mara..so few times wanatulia..
2.wanapenda kutulia,since ujana umewapita..
3.wanajua mambo mengi mno,yaani hata ukiwa kwenye mood ya ajabu hivi,wanaijua
wanakutuliza..
4.hawajali sana pesa,wanajali zaidi quality time,so hawana movement nyiingi za kutafuta life
5.......
6.hawatongozwi saana.so wana appreciate zaidi..
7....
daughter embu tuongee chemba pulizz achana na huyu na mmama wakeNiko concerned na hiyo point ya kwanza...hawapendi sana sex
what about you?na we pia hupendi sana au? na je inamaana (kwako personally) mwanamke anayependa sex sana anakuboa?kivipi?
Niko concerned na hiyo point ya kwanza...hawapendi sana sex
what about you?na we pia hupendi sana au? na je inamaana (kwako personally) mwanamke anayependa sex sana anakuboa?kivipi?
kwa nn mpaka miaka 50 jamani, why
unaanzaje kum undress we ni kiboko