Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Tatizo serikali haitaki watz wapate mafuta,yakipatikana makampuni yao yatakosa super profit waipatayo sasa!hivyo tafiti mbali mbali hutupwa kapuni.huenda huo mradi ni wa mama pinda!
Cheki wenzetu wanavyojiaanda kwenye mikutano yenye maslahi makubwa makubwa, Pinda kaja na mshauri wake Tunu, wametokea wako teamed up against watu mia nne.
Na kwa nini dili la mradi wa kufanyikia Bongo mkutano wafanyie Korea, wanakwepa media ya bongo?
heeeee kumbe hayo mambo bd yanafanyika duhh pinda mzee mzima anarithishwa mke duh hiyo kaliiitunu pinda anabahati mana ni mke wa kurisishwa wa pinda baada ya dada yake kufariki
mmakonde nilishangaa sana nilipoona hiyo issue hii serikali yote ni ya wa sanii na wezi watupu haingii akilini mambo wanayoyafanyaTunu Pinda sio kiongozi wa serikali period!Meli hiyo ya Wabrazil,kwa nini isivumbuliwe Dar Es Salaam kama hii issue ni seriuos?Can you imagine enzi za Mwalimu,mke wa Sokoine au Msuya kufanya huu upuuzi?Eti ni patron wa meli hii!I am sick to death