King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,511
Umofia kwako mama Tibaijuka,nakumbuka ulisisitiza sheria ya kuendeleza makazi ambayo inasema mtu asipoendeleza shamba ndani ya miaka mi3 basi huyo mtu atanyang'anywa shamba/kiwanja!
:focus:
Kuna mtu anaitwa Akbaru(Bush Mdogo),kwanini anaitwa bush mtoto? Huyu jamaa(Muhindi) anamiliki karibia kigamboni nzima(Zaidi ya 50%) cha kushangaza sehemu kubwa huyu bwana ameacha mapori kuanzia kisarawe,lengato,luguruni,lugwadu,mwasonga kote huko anamiliki mapori tena alinunua laki1 na nusu kwa heka! Mama Tibaijuka ebu mfatilie huyu mtu kama hana mpango nayo ayagawe kwa serikali ili waweze kugawa viwanja!! Hawa watu ndio wanaopandisha bei za viwanja kwa kuhold maeneo makubwa wao na kuacha tugombanie vipande vidogo kwa hela nyingi mfano viwanja vya geza viwanja 1800 waombaji 120,000.
Nawasilisha.
:focus:
Kuna mtu anaitwa Akbaru(Bush Mdogo),kwanini anaitwa bush mtoto? Huyu jamaa(Muhindi) anamiliki karibia kigamboni nzima(Zaidi ya 50%) cha kushangaza sehemu kubwa huyu bwana ameacha mapori kuanzia kisarawe,lengato,luguruni,lugwadu,mwasonga kote huko anamiliki mapori tena alinunua laki1 na nusu kwa heka! Mama Tibaijuka ebu mfatilie huyu mtu kama hana mpango nayo ayagawe kwa serikali ili waweze kugawa viwanja!! Hawa watu ndio wanaopandisha bei za viwanja kwa kuhold maeneo makubwa wao na kuacha tugombanie vipande vidogo kwa hela nyingi mfano viwanja vya geza viwanja 1800 waombaji 120,000.
Nawasilisha.