Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Nilibahatika siku moja kumsikiliza mama Tibaijuka katika kipingi cha dk 45 cha ITV. Kwa kweli alipoelezea mpango wa 'kuifumua' Dar na kujenga mji wa kisasa wa 'magorofa', niliona kama alikuwepo kwenye mawazo yangu. Kama kweli kama alivyosema mama huyu kuwa mpango huo utapelekea kujenga nyumba za magorofa kwa ajili ya makazi wakianza na maeneo yaliyo mjini zaidi kama Magomeni, Manzese, Ubungo, Tabata n.k. then hilo ni wazo zuri sana. Siku zote ambazo mi niliwahi kuwaza juu ya kufanyiaka kitu kama hicho, niliwaza kipangiliwe kama ifuatavyo;
1. Kabla ya kuwahamisha wakazi wa maeneo hayo, serikali ijenge kama 'stabilization houses' maeneo fulani pembeni na mjini, ambapo ardhi itapatikana. Maeneo haya yawe na uwezo wa ku-accommodate angalau watu elfu 5 kwa wakati mmoja. Idadi hii ya watu, itafanya huduma zozote za kijamii zitakazoambatana na eneo hilo ziwe economically viable. Nyumba hizi zitatumika kwa ajili ya kuwahamishia kwa muda wakazi wanaoishi eneo linalotakiwa kushughulikiwa kwa wakati huo. Wazo la kuwafidia then, kuwataka wakatafute makazi sehemu nyingine, litazua mdahalo na hali ya kutokukubaliana, tena litawapa mafisadi chance ya kuchakachua fidia.
2. Wamiliki wa nyumba na wakazi waliohamishwa kutoka eneo fulani, ndo watakaokuwa wa kwanza kupewa nyumba na vyumba miongoni mwa zitakazojengwa baada ya kukamilika
3. Suala la sewage channels, Barabara, rest places, breathing spaces, public areas kama viwanja, shule n.k vipewe kipaumbele sana. ninaamini kama mpango wa kujenga utakuwa mzuri, kwa kujenga magorofa, then idadi ya watu wanao-occupy eneo moja kwa sasa inaweza kuongezwa hata kwa ratio ya 1:10. Kwa maana hiyo maeneo yatakuwa makubwa na yatatosha kwa matumizi mbalimbali
Najua kuwa kama kweli serikali imedhamiria kuboresha miji yake, then watakuwa na mipango mizuri katika kuyafanya hayo...
1. Kabla ya kuwahamisha wakazi wa maeneo hayo, serikali ijenge kama 'stabilization houses' maeneo fulani pembeni na mjini, ambapo ardhi itapatikana. Maeneo haya yawe na uwezo wa ku-accommodate angalau watu elfu 5 kwa wakati mmoja. Idadi hii ya watu, itafanya huduma zozote za kijamii zitakazoambatana na eneo hilo ziwe economically viable. Nyumba hizi zitatumika kwa ajili ya kuwahamishia kwa muda wakazi wanaoishi eneo linalotakiwa kushughulikiwa kwa wakati huo. Wazo la kuwafidia then, kuwataka wakatafute makazi sehemu nyingine, litazua mdahalo na hali ya kutokukubaliana, tena litawapa mafisadi chance ya kuchakachua fidia.
2. Wamiliki wa nyumba na wakazi waliohamishwa kutoka eneo fulani, ndo watakaokuwa wa kwanza kupewa nyumba na vyumba miongoni mwa zitakazojengwa baada ya kukamilika
3. Suala la sewage channels, Barabara, rest places, breathing spaces, public areas kama viwanja, shule n.k vipewe kipaumbele sana. ninaamini kama mpango wa kujenga utakuwa mzuri, kwa kujenga magorofa, then idadi ya watu wanao-occupy eneo moja kwa sasa inaweza kuongezwa hata kwa ratio ya 1:10. Kwa maana hiyo maeneo yatakuwa makubwa na yatatosha kwa matumizi mbalimbali
Najua kuwa kama kweli serikali imedhamiria kuboresha miji yake, then watakuwa na mipango mizuri katika kuyafanya hayo...