mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,843
- 8,232
Alitaka kutumia ukimwi kupata umaarufu na baada ya kuwa maarufu akatafuta nafasi ya kugombea uongozi ndani ya CCM masikini hakijua CCM na jumui zake zina wenyewe wakampitilizia mbali naye ndo ukawa mwisho wake na sasa ana ugwadu na CCM,kosa kubwa huyu mama alijenga matumaini makubwa kuwa tayari ni alwatani ,wapi? Habari ndio hiyo nahuo ndio ukawa mwisho wa mama Terry malengo yake yaliishia hewani