Mama shujaa Tarime azawadiwa sh 500,000/-

Ashura9

JF-Expert Member
Oct 21, 2012
739
484
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tarime/Rorya, Gemini Mushi amemzawadia pesa taslimu kiasi cha shilingi laki 5 (Tsh 500,000) Sophia Manguye mkazi wa Sirari wilayani Tarime mkoani Mara kwa ushujaa wake wa kupambana na Majambazi na kufanikiwa kuwanyang'anya silaha aina ya SMG. SHARE na marafiki

Chanzo EATV
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom